Car4Sale Wapenzi wa magari mazuri msiache kupitia huu uzi ili kuuza au kununua

Car4Sale Wapenzi wa magari mazuri msiache kupitia huu uzi ili kuuza au kununua

Status
Not open for further replies.
Verosa nyeusi km 100,000,plate number D or C iwe haijawahi funfuliwa injini (iwe katika hali nzuri) kwa 6million naweza pata???
Hii hapa Nyeusi
Haijawahi kufunguliwa engine
Hapo kwenye km sasa ndio kizaazaa, imetembea km 130000 sasa sijui itapendeza?
FB_IMG_1511523029103.jpg
FB_IMG_1511523025652.jpg
FB_IMG_1511523031301.jpg
 
Paint with pride,

Gari yeyote ambayo kampuni yake ni TOYOTA sinunui nahitaji kampuni kama JEEP, CHEVROLET, n.k

Colour your world.
 
*opereshen ya kuwakomboa waliobanwa na hali inaendelea nanunua gari ndogo za 7 m kwenda chini kwa option 2 either nikulenge kwa maana nikulipe full kwa bei nzur au niuze kwa bei yako kwa kukupa hela kidogo ya kutuliza kiu yako then uache gar tuuze kwa uhuru na haraka sana*
Nipigie 0652472486
*mushi mkombozi mkuu kama viagra na wazee* forwad hii sms kwa kila rafik yako mwenye shida
 
Landcruiser Prado Td, model ya 2005,3rz engine, auto transmission, bei 26M, contact 0689699704
FB_IMG_1511534110135.jpg
FB_IMG_1511534121955.jpg
FB_IMG_1511534118371.jpg
 
Kiongoz bajet yangu 6.5 cash mkononi.... Nahitaji ist kuanzia namba c
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom