Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwa 7m haipatikani mkuu
Starlet hii hapa mzee babaMzee baba kuna M3 cash hapa siwezi kupata kastarlet kakuzugia kitaani kurahisisha visafari vya town...
Ningependa iliyoka hapa Tanzania. Kama utapata ya hapa Tanzania itakuwa vzr.Mkuu itapatikana ya kutoka Japan moja kwa moja bei yake ni 12.5M.
Vipi hiyo imekaaje? niendelee na mchakato
Anafanya utani huyo kwenye biashara za watu.Sina hizo gari mkuu
Hii hapa namba D kwa milioni 10Hebu nitaftie ya bei nzur tuongee mkuu
Hii hapa 2005 imefit budget yako ya 2015Mkuu mie nataka Crown athlete ya 2005 used japan. Max naweza jivuta hadi 15
Allex manual nitapata? Una saloon gani manual? Bei?Allex hizi hapa hii ya silv er milioni 8 na hii nyeusi 7.5View attachment 622098View attachment 622099View attachment 622100View attachment 622102View attachment 622103
Ina km ngapi mkuu?Hii hapa namba D kwa milioni 10View attachment 643088View attachment 643089View attachment 643090View attachment 643091View attachment 643092
Mpya au used TzAllex manual nitapata? Una saloon gani manual? Bei?
152760km, mwaka 2000 ,CC1990Ina km ngapi mkuu?
Hii hapa 2005 imefit budget yako ya 2015View attachment 643127View attachment 643128View attachment 643129
Hapa kwa haraka ni mileage tu, imetembea km 47000,tuwasiliane mkuu uikague 0689699704Nashukuru Boss...je waweza kunipatia specs zake? kama km nk
asante
Mkuu Chaza kutokana na hizo factor ulizotaja hapo juu Subaru itafanya vyema.Hivi Ford Escape ya mwaka 2007 na Subaru Forester ya 2007 ipi iko poa,kwa upande wa comfortability,durability,Upatikanaji wa vipuri pamoja na gharama ya kila gari hadi liwe mkononi(assuming milage na factor nyingine kuwa almost sawasawa)
Braza,haka kagari kanaendaje? Hiyo namba A siyo ya zamani sana?Starlet hii hapa mzee babaView attachment 642989View attachment 642990View attachment 642991View attachment 642992