Car4Sale Wapenzi wa magari mazuri msiache kupitia huu uzi ili kuuza au kununua

Car4Sale Wapenzi wa magari mazuri msiache kupitia huu uzi ili kuuza au kununua

Status
Not open for further replies.
Toyota Starlet
Gari ipo vizuri sana
Bei: Milioni 4.5
Mawasiliano:0658124554
IMG_20180820_164210_4.jpg
IMG_20180820_164152_3.jpg
IMG_20180820_164201_1.jpg
IMG_20180820_164245_2.jpg
IMG_20180820_164250_3.jpg
IMG_20180820_164254_7.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu nahitaji mark x,

Offer yangu ni 8M. Ikiwa nyeusi namba D itapendeza zaidi.
 
Naona hapa hapatuhusu sisi ambao hata kiwanja tu hatuna[emoji22][emoji22]
Hapana boss panakuhusu sana sababu sio watu wanaomiliki magari wanamiliki viwanja.
Kumiliki gari ni swala la vipaombele tu halafu gari zenyewe hata ukiwa na milioni 2 au 3 hivi unasukuma ndinga mjini hapa..kwanini sasa pasikuhusu.

Hata ukiona tu picha za gari hivi na bei zake ni faraja tosha,inakupa moyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom