Car4Sale Wapenzi wa magari mazuri msiache kupitia huu uzi ili kuuza au kununua

Car4Sale Wapenzi wa magari mazuri msiache kupitia huu uzi ili kuuza au kununua

Status
Not open for further replies.
ukiuziwa gari imeoshwa injin huwez kubaini leakage mzee baba au hujawahi kufanya mishe za magari?

Mbona gari zikitoka japan wanaosha ingini hasa autorec na enhance auto na sijawahi kuona hiyo "linkage" yako? Alafu leakage inaonekana engine ikiwa safi au chafu? Simple logic
 
Toyota Allex
Mwaka:2001
1490CC
67000Km
Bei: Milioni 11.9
Mawasiliano:0658124554
IMG-20181224-WA0008.jpg
IMG-20181224-WA0007.jpg
IMG-20181224-WA0009.jpg
 
Scania R470
Mwaka:2007
Manual transmission
Bei: Milioni 75 (bei inajumuisha ushuru mpaka usajili)
Mawasiliano:0658124554
FB_IMG_1545750222054.jpg
FB_IMG_1545750225583.jpg
FB_IMG_1545750228069.jpg
FB_IMG_1545750230841.jpg
FB_IMG_1545750236424.jpg
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom