dingihimself
JF-Expert Member
- Jan 9, 2016
- 9,702
- 20,134
Hongera sana kamanda, usisahau kapichaYeah kichange mwanetu, mi wa mwezi wa 7 ndio ntavuta chombo bado najaza kibubu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hongera sana kamanda, usisahau kapichaYeah kichange mwanetu, mi wa mwezi wa 7 ndio ntavuta chombo bado najaza kibubu
Poa mkuu ntashare na wana😂Hongera sana kamanda, usisahau kapicha
Jf kila mtu ana gari nahis nimebaki mimi maisha ya humu nyuma ya keyboard yanafurahisha [emoji38][emoji38]Poa mkuu ntashare na wana[emoji23]
Jf kila mtu ana gari nahis nimebaki mimi maisha ya humu nyuma ya keyboard yanafurahisha [emoji38][emoji38]
ninayo nikuuzie kaka
Ni yakutafuta mkuu,kama utakua na uhitaji nayo nicheki 0658124554 niihangaikie mpaka niipate ndani ya muda muafakaMaster unaweza ukawa na audi A 4 au A 3? Namba D?
Boss, Voltz No. D inawezakupatikana kwa bei ngap?Ni yakutafuta mkuu,kama utakua na uhitaji nayo nicheki 0658124554 niihangaikie mpaka niipate ndani ya muda muafaka
Uaonekana kumcha Mungu,maana naona km msema ukweli vile tofauti na madalali wengine.Vp mna mafundi wa kuthibitisha ubora wa gari b4 hujaiweka sokoni?Mkuu kazi yetu kuu nikumsaidia mtu kuuza gari yake ndani ya muda mfupi lakini kazi yetu kuu zaidi na kipaombele chetu ni kumsaidia mteja kupata gari anayotaka ikiwa nzima na ikiwa haina magumashi aina yeyote.
Ni mipango yetu kujiboresha zaidi ili kufikia hayo malengo tajwa hapo juu kwa ufanisi zaidi.
Kujibu swali lako ni kwamba hatuna eneo maalumu lakini tunafanya kazi na mtu binafsi, kampuni na hata madalali wengine ili kufikia na kukidhi mahitaji ya wateja wetu. Karibu sana mkuu.
kuna jamaa namdaigi nimemuona yuleee kwenye hizi picha nampataje mkuuu..kumbe ndo yupo huku eeeeh NGOJEAToyota Landcruiser Amazon
Diesel
Manual
Bei: Milioni 35
Mawasiliano:0658124554
Kuna gari unahitaji au unayo gari unauza wasiliana nasi tulipatie ufumbuzi hitaji lakoView attachment 1068494View attachment 1068495View attachment 1068501View attachment 1068503
Sent using Jamii Forums mobile app
Bado ipo mkuu , Milioni 8.5
Nipigie 0658124554