Asante mkuu. Ngoja nifanye ivyo. Nilikua naogopa maana iyo Sony naona ni ya zamani kidogo lakini Hisense nadhani ni ya 2020 kuja juu.kwa specification naona iyo sony home theatre iko njema kuliko sound bar ya hisense, kwa iyo sony kwa apo iko bora, watts 320 vs watt200, lakin pia sony ni channel 5. 1 vs channel 2.1, ila kwa matumizi uliyosema zote zinafaa, na kama hupend minyaya minyaya sebulen na unataka kua stylish, chukua hisense sound bar
kwa hiyo bajeti yako ya 450k nakusogezea pendekezo zuri zaidi toa hiyo hisense weka hii, Hiyo nimeitoa Kwenye app ya kariakoo Mall, Najua ukiingia town mwenyew utapata bei chini ya hapo, sikushauri kuhusu Hiyo Sony Ishapitwa na wakati vya kutosha bluetooth kitu muhimu sana kwenye hizi mambo.Asante mkuu. Ngoja nifanye ivyo. Nilikua naogopa maana iyo Sony naona ni ya zamani kidogo lakini Hisense nadhani ni ya 2020 kuja juu.
Shukrani boss. Hiyo 2.1 itakua na surround effect nzuri kwa movies na game?kwa hiyo bajeti yako ya 450k nakusogezea pendekezo zuri zaidi toa hiyo hisense weka hii, Hiyo nimeitoa Kwenye app ya kariakoo Mall, Najua ukiingia town mwenyew utapata bei chini ya hapo, sikushauri kuhusu Hiyo Sony Ishapitwa na wakati vya kutosha bluetooth kitu muhimu sana kwenye hizi mambo. View attachment 2265726
Icho ndio kilikua kinanitia wasiwasi. Ni model ya mwaka 2012, haina Bluetooth wala ARC.Oyaaa bora hiyo hisence, unakuwaje na home theater halafu haina bluetooth[emoji15]
Natumia Samsung soundbar 2.1 ni balaaa nzito.Icho ndio kilikua kinanitia wasiwasi. Ni model ya mwaka 2012, haina Bluetooth wala ARC.
Nitacheki yenye Bluetooth mfano LG aliyo reccomend Call m3 Anwar hapo juu.
Samsung aina gani?Natumia Samsung soundbar 2.1 ni balaaa nzito.
A550Samsung aina gani?
Unaweza kufanya maamuzi kwa kuzingatia haya yafuatayo :Wakuu Mambo.
Nataka kununua kati ya Home Theater ya Sony DAV TZ 140 5.1 au Sound Bar ya Hisense HS 281 2.1
Zote mbili bei zinafanana approximately Tsh 450,000/= kila moja.
View attachment 2264165
Sony Home Theatre hiyo hapo, Wat 320. Nimeona haina Bluetooth connectivity sijui itafaa?
Na Hapa chini ni Hisense Soundbar ina sub yake, ni Wat 200 jumla.
View attachment 2264166
Matumizi makubwa ni kwaajili ya Movie, na Game, Music kidogo sana.
Shukrani.
Namimi nilikua na wasiwasi huo. Ninavyoelewa mimi huwezi kupata sorround sound effect kwa system ya 2.1.Shukrani boss. Hiyo 2.1 itakua na surround effect nzuri kwa movies na game?
kwa hiyo bajeti yako ya 450k nakusogezea pendekezo zuri zaidi toa hiyo hisense weka hii, Hiyo nimeitoa Kwenye app ya kariakoo Mall, Najua ukiingia town mwenyew utapata bei chini ya hapo, sikushauri kuhusu Hiyo Sony Ishapitwa na wakati vya kutosha bluetooth kitu muhimu sana kwenye hizi mambo. View attachment 2265726
Ulichukua kias gani mkuu?A550
Namimi nilikua na wasiwasi huo. Ninavyoelewa mimi huwezi kupata sorround sound effect kwa system ya 2.1.
Natumia Samsung soundbar 2.1 ni balaaa nzito.