Wapenzi wa Muziki Mzuri: Home Theatre ya Sony vs Soundbar ya Hisense

Wapenzi wa Muziki Mzuri: Home Theatre ya Sony vs Soundbar ya Hisense

Utapata effects kupitia virtual surround. Hii ina maana kuna sauti utazisikia kutokea upande ambao hakuna spika. Soundbars zimetengenezwa zikiwa na uwezo wa kurusha sauti ukutani au darini (forward/upward firing)halafu inakufikia wewe ikitokea ukutani/darini . Kwa hiyo effects utazipata tatizo liko kwenye ubora wa sauti. Hakuna mbadala wa spika halisi unaoweza kukupa ubora wa juu wa sauti. Kwa hivyo 2.1 haiwezi kuwa sawa kabisa na 5.1. Lakini pia huwezi kufananisha movie experience unayopata kwenye 2..1 system na stereo. 2.1 ni bora sana.
Kwahiyo ata SB nitainjoy tu fresh ingawa sio level ya HT.
 
Hii niliona pale Mlimani City ina hatari kubwa bei ni 860,000, ni LG
Screenshot_20220620-191406_Gallery.jpg
 
Shukrani boss. Hiyo 2.1 itakua na surround effect nzuri kwa movies na game?
Ama kweli tunatofautiana matumizi, Mimi matumizi yangu kwenye sound system hizi natumia kwenye Mziki tu, hapo nina uhakika inafanya vyema, bass kali sana. kwenye movie sijajua ila ni bora uendane na teknolojia mkuu, HT ile sikushawishi pia watts zake ndogo haina maajabu sana kama utautunisha mfuko mpaka 680k Utapata HT ya 5.1 LG ama Sony watts 1000 bluetooth ndani, hapo magoli
 
Ama kweli tunatofautiana matumizi, Mimi matumizi yangu kwenye sound system hizi natumia kwenye Mziki tu, hapo nina uhakika inafanya vyema, bass kali sana. kwenye movie sijajua ila ni bora uendane na teknolojia mkuu, HT ile sikushawishi pia watts zake ndogo haina maajabu sana kama utautunisha mfuko mpaka 680k Utapata HT ya 5.1 LG ama Sony watts 1000 bluetooth ndani, hapo magoli
Tazama mfano hapoView attachment 2269495
Screenshot_20220623-102755.jpg
 

mkuu jana nmechukua hii sound bar, ni hatar, ni next level kiukwel, bas ya kutosha kwenye moviee ni kama uko movie theatre, mdau ulieandika hii thread nakushaur chukua sumsung sound bar aisee hizi A series, zote ziko poa maana nilitest jana zote shop, kama bajet yako aiko poa chuku a450, na kuna a 650 nayo ni moto
 
mkuu jana nmechukua hii sound bar, ni hatar, ni next level kiukwel, bas ya kutosha kwenye moviee ni kama uko movie theatre, mdau ulieandika hii thread nakushaur chukua sumsung sound bar aisee hizi A series, zote ziko poa maana nilitest jana zote shop, kama bajet yako aiko poa chuku a450, na kuna a 650 nayo ni moto
Ahsante mkuu kwa feedback, hii samsung naona watu wengi hawana. Ni soundbar iliyotulia vizuri sana. Mdundo kama wote. Utachagua sound unayotaka. Dts, bass boost, surround, Standand. Yaani ni balaa.
 
Ahsante mkuu kwa feedback, hii samsung naona watu wengi hawana. Ni soundbar iliyotulia vizuri sana. Mdundo kama wote. Utachagua sound unayotaka. Dts, bass boost, surround, Standand. Yaani ni balaa.
inaishinda kodtec yangu 2913?? kwa bass ya maana??
 
Back
Top Bottom