Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo ata SB nitainjoy tu fresh ingawa sio level ya HT.Utapata effects kupitia virtual surround. Hii ina maana kuna sauti utazisikia kutokea upande ambao hakuna spika. Soundbars zimetengenezwa zikiwa na uwezo wa kurusha sauti ukutani au darini (forward/upward firing)halafu inakufikia wewe ikitokea ukutani/darini . Kwa hiyo effects utazipata tatizo liko kwenye ubora wa sauti. Hakuna mbadala wa spika halisi unaoweza kukupa ubora wa juu wa sauti. Kwa hivyo 2.1 haiwezi kuwa sawa kabisa na 5.1. Lakini pia huwezi kufananisha movie experience unayopata kwenye 2..1 system na stereo. 2.1 ni bora sana.
tuwekee model number yakeNatumia Samsung soundbar 2.1 ni balaaa nzito.
600kUlichukua kias gani mkuu?
410wattya watts ngap na model yake
Hizi A Series za Samsung Soundbar zina hatari sana. Zimefanyiwa maboresho ya nguvu sana. Mziki safi, deep bass nzuri kabsa.Nunua soundbar ya Samsung A 650 hutajuta!
Bila shakaKwahiyo ata SB nitainjoy tu fresh ingawa sio level ya HT.
Zinapatikana maduka ya wapi hiziNunua soundbar ya Samsung A 650 hutajuta!
Hata Kariakoo zinapatikana lakini inakupasa unipange hasa mfukoni, kuanzia 800k na kuendeleaZinapatikana maduka ya wapi hizi
Ama kweli tunatofautiana matumizi, Mimi matumizi yangu kwenye sound system hizi natumia kwenye Mziki tu, hapo nina uhakika inafanya vyema, bass kali sana. kwenye movie sijajua ila ni bora uendane na teknolojia mkuu, HT ile sikushawishi pia watts zake ndogo haina maajabu sana kama utautunisha mfuko mpaka 680k Utapata HT ya 5.1 LG ama Sony watts 1000 bluetooth ndani, hapo magoliShukrani boss. Hiyo 2.1 itakua na surround effect nzuri kwa movies na game?
Tazama mfano hapoView attachment 2269495Ama kweli tunatofautiana matumizi, Mimi matumizi yangu kwenye sound system hizi natumia kwenye Mziki tu, hapo nina uhakika inafanya vyema, bass kali sana. kwenye movie sijajua ila ni bora uendane na teknolojia mkuu, HT ile sikushawishi pia watts zake ndogo haina maajabu sana kama utautunisha mfuko mpaka 680k Utapata HT ya 5.1 LG ama Sony watts 1000 bluetooth ndani, hapo magoli
A550
Ahsante mkuu kwa feedback, hii samsung naona watu wengi hawana. Ni soundbar iliyotulia vizuri sana. Mdundo kama wote. Utachagua sound unayotaka. Dts, bass boost, surround, Standand. Yaani ni balaa.mkuu jana nmechukua hii sound bar, ni hatar, ni next level kiukwel, bas ya kutosha kwenye moviee ni kama uko movie theatre, mdau ulieandika hii thread nakushaur chukua sumsung sound bar aisee hizi A series, zote ziko poa maana nilitest jana zote shop, kama bajet yako aiko poa chuku a450, na kuna a 650 nayo ni moto
inaishinda kodtec yangu 2913?? kwa bass ya maana??Ahsante mkuu kwa feedback, hii samsung naona watu wengi hawana. Ni soundbar iliyotulia vizuri sana. Mdundo kama wote. Utachagua sound unayotaka. Dts, bass boost, surround, Standand. Yaani ni balaa.
inaishinda kodtec yangu 2913?? kwa bass ya maana??