Wapenzi wa Muziki Mzuri: Home Theatre ya Sony vs Soundbar ya Hisense

Wapenzi wa Muziki Mzuri: Home Theatre ya Sony vs Soundbar ya Hisense

Feedback:

Nilienda Kariakoo nikazurura sana. Nikatest izo zote mbili, iyo Sony hamna kitu. Iyo Hisense pia kawaida tu.

Nimaishia kununua evvoli Soundbar ya 320 watts kwa 470,000/=

So far, inaniridhisha.

E2548455-A883-437F-A9E9-80B10A82AC91.jpeg
458AB569-258D-4798-BC66-5E82FAE35F6D.jpeg
 
kwa hiyo bajeti yako ya 450k nakusogezea pendekezo zuri zaidi toa hiyo hisense weka hii, Hiyo nimeitoa Kwenye app ya kariakoo Mall, Najua ukiingia town mwenyew utapata bei chini ya hapo, sikushauri kuhusu Hiyo Sony Ishapitwa na wakati vya kutosha bluetooth kitu muhimu sana kwenye hizi mambo. View attachment 2265726
Hivi mkuu hyo channel huwa ina deal na nn hasa maana siielewi vizuri mkuu tafwazal lkn
 
Hivi mkuu hyo channel huwa ina deal na nn hasa maana siielewi vizuri mkuu tafwazal lkn
Hao ni wauzaji wa online, unachagua mali yoyote unayoipenda kutoka kwenye hiyo app, wanakuletea kwako full box ikiwa sealed, unautest mzigo ukiuelewa unalipia full. order inachukua kama masaa ma3 maximum kukufikia. wapo poa sana
 
Hao ni wauzaji wa online, unachagua mali yoyote unayoipenda kutoka kwenye hiyo app, wanakuletea kwako full box ikiwa sealed, unautest mzigo ukiuelewa unalipia full. order inachukua kama masaa ma3 maximum kukufikia. wapo poa sana
Hujanielewa mkuu nachouliza mm ni zile channel za kwenye sabufa au sound bar. Mfano unakuta sonny dav dz 150 labda ina channel 5.1 hyo channel ndio nauliza ina deal na vitu gani hasa?
 
Hao ni wauzaji wa online, unachagua mali yoyote unayoipenda kutoka kwenye hiyo app, wanakuletea kwako full box ikiwa sealed, unautest mzigo ukiuelewa unalipia full. order inachukua kama masaa ma3 maximum kukufikia. wapo poa sana
Hiyo website inaitwaje
 
Hujanielewa mkuu nachouliza mm ni zile channel za kwenye sabufa au sound bar. Mfano unakuta sonny dav dz 150 labda ina channel 5.1 hyo channel ndio nauliza ina deal na vitu gani hasa?

mkuu maana ya channe ni speaker na subwoofer, mfano hapo kwenye channel 5.1, inamaana iyo home threatre ina speaker tano(5) na subwoofer (1), hizo speaker tano zinashirikiana kukupa radha halisi ya audio, iwe movie au music,pamoja na sorround sound
 
Hujanielewa mkuu nachouliza mm ni zile channel za kwenye sabufa au sound bar. Mfano unakuta sonny dav dz 150 labda ina channel 5.1 hyo channel ndio nauliza ina deal na vitu gani hasa?
Hukunyoosha swali, mm sio mtaalamu sana wa mziki ila unapoona channel 2.1 au 5.1 hapo ninavyoelewa mimi inamaanisha ya kuwa hiyo music system (5.1) inakuwa na spika 5 na boofer 1, Sasa hapo kila spika inakuwa na position yake maalum tofaut na 2.1 ambayo inakuwa na spika mbili na boofer tu
 
Hukunyoosha swali, mm sio mtaalamu sana wa mziki ila unapoona channel 2.1 au 5.1 hapo ninavyoelewa mimi inamaanisha ya kuwa hiyo music system (5.1) inakuwa na spika 5 na boofer 1, Sasa hapo kila spika inakuwa na position yake maalum tofaut na 2.1 ambayo inakuwa na spika mbili na boofer tu
Hapo sawa Chief hapo sasa nimekulata vyema[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
 
mkuu maana ya channe ni speaker na subwoofer, mfano hapo kwenye channel 5.1, inamaana iyo home threatre ina speaker tano(5) na subwoofer (1), hizo speaker tano zinashirikiana kukupa radha halisi ya audio, iwe movie au music,pamoja na sorround sound
Nimetoa ujinga hapa, thanks much mkuu
 

Pia unaweza pitia hiyo site wana trusted reviews za soundbars,una search model yako unapata uchambuzi wote kuanzia pros and cons mpaka MIXED USAGE RATING,yani music, movies na Dialogue.

Kwa Samsung unaweza cheki Q series kuanzia Q600A hizi Q series zina Dolby zote tofaut na A au T series za budget
 
Back
Top Bottom