Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Hama huko mremboMfano baadhi ya Ndizi za huku niliko wanasema zinasaidia sana kulainisha maeneo ya wanawake! Sijui kuna ukweli hata!
Huku kuna watu si wanaume si wanawake ni asubuhi mchana jioni ni ndizi ndizi ndizi ukiwapa chakula kingine hujawatendea haki kabisa!!
Kwakweli soon nahamia Moro! Sema mi pia ndizi kila siku siweziii!! Nazila mara moja moja sana!!Hama huko mrembo
Hata mimi town nimekuja janaHuo nakuachia wewe bwana, ngoja nifanye mengine..halafu mie mshamba nimekuja town na ndevu zangu l..
Ila wanawak wengi mnapenda such kind of food!! Still wengn wana familia..... Watoto watapt afya kwelii? [emoji16]Yeah ni kweli
Naona wasabato wengi hawali mduduuu!!Ujanja wote huo kitimoto huli?😂😁
Watu wengn wamekulia kweny ndizii.... Ni tofaut na wengine ugali kila sku ko tunatofautianaHao ni wale rojo rojo wa dar, nile ndizi nishibe kabisa? Anyway tunatofautiana
Sent using Jamii Forums mobile app
Mambo ya Hellen G White hayoNaona wasabato wengi hawali mduduuu!!
Njoo mjini Moro biashara haiendi sana labda kama upo kwenye mishahara ya wizara ileeeeeKwakweli soon nahamia Moro! Sema mi pia ndizi kila siku siweziii!! Nazila mara moja moja sana!!
Upo kwa wahaya?Mfano baadhi ya Ndizi za huku niliko wanasema zinasaidia sana kulainisha maeneo ya wanawake! Sijui kuna ukweli hata!
Huku kuna watu si wanaume si wanawake ni asubuhi mchana jioni ni ndizi ndizi ndizi ukiwapa chakula kingine hujawatendea haki kabisa!!
Kama hutokei kwenye migomba ndo utakua hupendi ndizi,Cha ajabu kuna midume nayo inapenda NDIZI
Wewe unapenda NDIZI?Kama hutokei kwenye migomba ndo utakua hupendi ndizi,
Bila picha ya ndiz umetuonea😂😂Mfano baadhi ya Ndizi za huku niliko wanasema zinasaidia sana kulainisha maeneo ya wanawake! Sijui kuna ukweli hata!
Huku kuna watu si wanaume si wanawake ni asubuhi mchana jioni ni ndizi ndizi ndizi ukiwapa chakula kingine hujawatendea haki kabisa!!
Tena wanapenda sana!Ila wanawak wengi mnapenda such kind of food!! Still wengn wana familia..... Watoto watapt afya kwelii? [emoji16]
Eendiwoo mkuu!Upo kwa wahaya?
I gat you ukhtyHuo utakuwa uzembe wa mzazi watoto Wana vyakula vyako vizuri kabisa
Je ni hatua gani unazoweza kuzichukua ili mlo huu usiwe na mafuta mengi? maana ndizi zimekaangwa, nyama zimekaangwa na bado mchanganyiko wa nyanya na karoti pia unakaangwa na mafuta kabla ya kutumbukiza ndizi hizoNafikiri mkopoa kabisa
Naomba ku share na nyie recipe nzuri ya kupika ndizi mzuzu Kwa wale wasiopenda rost na wengine wanaopenda kula chakula Cha tofauti na hakichukui mda kuandaa
Mahitaji
Ndizi zilizokaangwa ambazo umekata shape ndogo size uipendayo na nyama iliyokaangwa unaweza tumia hata mishikski,
nyanya 2 kubwa zikate au zisage
karoti na hoho kata size uipendayo ,mafuta ya kupikia navitunguu(saumu kilichopondwa) na kitunguu maji,pilipili hoho,karoti na chumvi
Hatua ya kwanza
Bandika sufuria Yako jikoni weka mafuta ya kula kijiko kimoja Kisha kaanga vitunguu maji kikianza kulegea weka kitunguu swaumu
Hatua ya pili
Kisha weka nyanya pamoja na chumvi ziache ziive zikiiva weka hoho pamoja na karot acha Kwa dakika 3 zilainike
Hatua ya Tatu
Weka nyama zilizokaangwa au mishikaki Yako Kisha weka ndizi zilizokaangwa geuza na zichanganye vizuri had zichanganyike vizuri acha Kwa dakika moja Changanya Tena hapo zitakuwa tayar Kwa kuliwa
Unaweza kushushia na juis hata soda pia
Kama unaswali unaweza kuuliza pia km nitakuwa sijaeleweka mniwie radhi
View attachment 2766244