black hawk87
JF-Expert Member
- Jan 25, 2020
- 678
- 1,244
Push up 500 per day,sqt 300 per day ndio maisha yangu plus kata kazaa za karateee [emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123]Salaam wakuu na hongereni kwa kushiriki vita ya kuitokomeza corona
Katika kuweka mwili fiti nimeona Kuna mazoezi mawili yasiyohitaji eneo kubwa, na hata chumbani unaweza kuyafanya, nayo Ni pushups kwa kujenga mwonekano wa juu wa mwili , na squarts kwa kujenga mwonekano wa chini wa mwili
Wapenzi wa mazoezi hayo karibuni mtuambie ulianzaje kupiga push-ups na unamudu kupiga pushups ngapi, squarts ngapi na utimamu wa mwili wako ukoje.
Karibuni
Karibu mazoeziniDuuh!!
Huko ndo zinapigwaga hizo?
Nimeipenda hii, kutoka 7 hadi 50!Push up Ni zoezi zuri...
Anza pale ulipo...halafu Hakikisha unajichalenge mwenyewe kila siku..
Mfano leo ukipiga tano.. kesho piga Saba, keshokutwa 8,
Hakikisha unaizidi Jana...
Utakaa sawa TU...
Mimi nilianza na Saba....
Ila Sasa nakimbiza 50+ mzunguuko mmoja
LOLKaribu mazoezini
Nipo Mtani hiyo Avatar ndio imefanya nikakumbuka. Lol Kwema huko?Mtani Upo?
Karibu Mazoezini, sisi wanaume wa mikoani tupo Stable
Nipo Mtani hiyo Avatar ndio imefanya nikakumbuka. Lol Kwema huko?
Ahsante Mtani mie pia huwa niko vizuri hizo pande kwani kila siku huwa nina saa moja la kujiweka sawa.
safi kabisa mkuu.komaa upige pushups seti tatu tatu (jumla 75) asubuhi na seti tatu tatu jioni..Yaani kwa siku 150. unapiga 25 unapumua kidogo unapiga zilizobaki kwa mtindo huo huoPush up ni za ziada huwa kila asubuhi napiga 25,usiku 25 jumla 40 squarts huwa ni 50 kuchangamsha.
Nipo timamu akili na mwili nisipopiga huwa sijisikii vizuri kabisa.
Safiiii mkuu me pia ndo zangu hzo 500 kila cku na kila round napga 50 na zote nazipga saa 12 asbh nkiamka tu then baada ya hapo nakunywa glass zangu 2 za maji ya vuguvugu cku yng inaanza vzr tu.Push up 500 per day,sqt 300 per day ndio maisha yangu plus kata kazaa za karateee [emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]We nieleweshe bana sababu na mie pia ni mfanyaji mazoezi mzuri tu japo Push - ups kwangu huwa ni changamoto yaani siziwezi kabisaa labda nikite mikono na miguu chini ila si kupanda na kushuka sana sana nikishuka naeza shusha kiuno lakini mgongo na kichwa vikawa juu basi na si kushuka na kupandisha mwili mzima πππ
Acha tu mdogo wangu. Vp wewe ni Mtaalamu nazo nini? Mana kunawanaume wengine wanapiga huku wamekunja ngumi.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Pole dada yangu, nimeisoma huku navuta uhalisia jinsi unavyohangaika..
Sio haba hilo ndio zoezi rahisi kwangu, napiga kuanzia 20 hadi 30 kwa mzunguko mmoja.Acha tu mdogo wangu. Vp wewe ni Mtaalamu nazo nini? Mana kunawanaume wengine wanapiga huku wamekunja ngumi.
Duuh!! Si haba.Sio haba hilo ndio zoezi rahisi kwangu, napiga kuanzia 20 hadi 30 kwa mzunguko mmoja.
Mlo ni kiini(nguzo) cha(ya) mazoezi. Ukipata mlo mzuri tayari unapata nguvu za kufanya mazoeziDuuh!! Si haba.
Good kabisaSafiiii mkuu me pia ndo zangu hzo 500 kila cku na kila round napga 50 na zote nazipga saa 12 asbh nkiamka tu then baada ya hapo nakunywa glass zangu 2 za maji ya vuguvugu cku yng inaanza vzr tu.
Acha tu mdogo wangu. Vp wewe ni Mtaalamu nazo nini? Mana kunawanaume wengine wanapiga huku wamekunja ngumi.
Ahsante kwa ushauri Mkuu.Kikubwa ni kutokata tamaa binafsi wife siku ya kwanza niliishia kucheka sana wakati namfundisha kwa kweli nilishindwa kujizuia naye akamind na kusema hatorudia tena basi nikamuomba radhi na kumsisitiza umuhimu wake akanielewa. Baada ya siku tatu akaweza kupiga push up moja kwa ufasaha sana nikampongeza. Wiki akamaliza push up mbili tukaendelea hivyo baada ya wiki mbili akawa na uwezo wa push up tano ila kwa taratibu sana lakini leo yapata miezi sita Aisee amekuwa ana uwezo wa kupiga aina mbali mbali za push ups ingawa nilimlimit mwisho ziwe 30 tu so kwa sasa anatumia aina tatu za push up ambapo kila aina anapiga kumi anavuta pumnzi then aina nyingine kumi tena mwisho anamaliza zote 30.
So hoja hapa ni mwanzo mgumu ila ukiamua na kutia nia inawezekana.