Mkuu squirt?!nafikiri hicho ni kitu kingine tofauti na alichosema mtoa mada..ila najua ni shida ya hivi vitufe vya kuandikia.
Mwili wangu umejaa uvivu kila siku nasema nianze mazoezi lakn naishia kusema tu basSalaam wakuu na hongereni kwa kushiriki vita ya kuitokomeza corona
Katika kuweka mwili fiti nimeona Kuna mazoezi mawili yasiyohitaji eneo kubwa, na hata chumbani unaweza kuyafanya, nayo Ni pushups kwa kujenga mwonekano wa juu wa mwili , na squarts kwa kujenga mwonekano wa chini wa mwili
Wapenzi wa mazoezi hayo karibuni mtuambie ulianzaje kupiga push-ups na unamudu kupiga pushups ngapi, squarts ngapi na utimamu wa mwili wako ukoje.
Karibuni
Asee tuwe tunafanya wote, utanishawishi nirudi kwenye ubora.Napenda mazoezi Ila push ups ilishanishinda siku nyingi Bora squats kidogo nafanyaga Ila sio sana
Mimi hufanya jogging na kuruka kamba haya mazoezi hayajawahi kuni disappoint kabisa. For now naruka kamba Sana lohAsee tuwe tunafanya wote, utanishawishi nirudi kwenye ubora.
Mimi sijui push up zilishanishinda kabisa naweza kufanya mazoezi yote Ila push ups Sasa chineke oooohMie huwa napiga aina tofauti tofauti za push up!!
Ahahahaha wewe utapiga ukishindwa kunyanyuka nakunyanyua...teh!!Mimi sijui push up zilishanishinda kabisa naweza kufanya mazoezi yote Ila push ups Sasa chineke ooooh
Faida ni zipi hasa kwa push ups,Mimi ndo mazoezi yangu hayo.. Hata kama nimechoka Ila lazima pushup ziwe 40+.. But now napiga na gym kidogokidgo
Kuna namna nimeona jinsi moyo unaanza kunibana sijui ni mafuta, yani nikiwa sehemu nahema haraka harakaMimi ndo mazoezi yangu hayo.. Hata kama nimechoka Ila lazima pushup ziwe 40+.. But now napiga na gym kidogokidgo
Au ulizidisha kiwango mkuu? ila utakua poa usiwaze.Baada ya kuona The Rock anapiga pushups 150 kwa siku nilianza...heheh nilipiga mia kwa siku kwa wiki nzima mpaka sasa katikati ya kifua nikiinama panalia kacha kama mfupa unajinyoosha ila hamna maumivu.
Kuwa dawa au msaada wowote au ni kawaida kwenye mazoezi
Mwili kuwa mwepesi,tumbo na mwili kukaa vizuri hata ukivua nguo😁😁Faida ni zipi hasa kwa push ups,
Mgonjwa kama pressure, sukari yana kaa mbali.Faida ni zipi hasa kwa push ups,
Madhara ya push ups kwa wanawake ni zipi? Hasa anaepiga nyingi, je tumbo utengeneza six pack nkKikubwa ni kutokata tamaa binafsi wife siku ya kwanza niliishia kucheka sana wakati namfundisha kwa kweli nilishindwa kujizuia naye akamind na kusema hatorudia tena basi nikamuomba radhi na kumsisitiza umuhimu wake akanielewa. Baada ya siku tatu akaweza kupiga push up moja kwa ufasaha sana nikampongeza. Wiki akamaliza push up mbili tukaendelea hivyo baada ya wiki mbili akawa na uwezo wa push up tano ila kwa taratibu sana lakini leo yapata miezi sita Aisee amekuwa ana uwezo wa kupiga aina mbali mbali za push ups ingawa nilimlimit mwisho ziwe 30 tu so kwa sasa anatumia aina tatu za push up ambapo kila aina anapiga kumi anavuta pumnzi then aina nyingine kumi tena mwisho anamaliza zote 30.
So hoja hapa ni mwanzo mgumu ila ukiamua na kutia nia inawezekana.