You're Suffering From Disease Called EXCUSITIS - a Failure Disease, You Need To Get An Action Habit, Take Action & Take Action Now!Mwili wangu umejaa uvivu kila siku nasema nianze mazoezi lakn naishia kusema tu bas
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
You're Suffering From Disease Called EXCUSITIS - a Failure Disease, You Need To Get An Action Habit, Take Action & Take Action Now!Mwili wangu umejaa uvivu kila siku nasema nianze mazoezi lakn naishia kusema tu bas
Umehamasisha vizuri hongeraYou're Suffering From Disease Called EXCUSITIS - a Failure Disease, You Need To Get An Action Habit, Take Action & Take Action Now!
Thanks![emoji1666]Umehamasisha vizuri hongera
Leo siku ya nne ya zoez ila naona push-up zinazid kupungua saiz siend zaid ya kumi kwa awamu moja na hii kitu squart naona kama n kwa wadada tuu mana naona Kuna kitu kama baba au mwanaume naona itaniathiriAisee nimeanza jion hii haya mazoezi nimepiga push-up 60 kwa mafungu ya kumi kumi na squats nimepiga 60 hvyo hvyo kwa mafungu ya kumi kumi hapa najiona baunsa kifuani hope na kitambi kitaishia
Unakaza misuli ya miguu.Mbona squatting nasikia ni za kujenga hips na viuno kwa kina dada, wanaume zinasaidia nini
Kata tumbo ipi hyo mzee tujulishane mana hii inayosemwa humu naona kwangu sio kabisaLeo nimepiga pushups 5, plank kwa sekunde 30 na kata tumbo 50. Nikakimbika km 10. Nimechoma jumla ya calories 1100.
[emoji1787] [emoji1787] Poa poa, na kitu kingineUnakaza misuli ya miguu.
Halafu baadae jioni unaenda kula nyama ya nyama choma chips, nyama choma ya mbuzi, mishikaki, kitimoto [emoji1787][emoji1787]Leo nimepiga pushups 5, plank kwa sekunde 30 na kata tumbo 50. Nikakimbika km 10. Nimechoma jumla ya calories 1100.
Unalala chali, unabana miguu yako sehemu unainuka na kurudi.Kata tumbo ipi hyo mzee tujulishane mana hii inayosemwa humu naona kwangu sio kabisa
Nimekuelewa 💯Unalala chali, unabana miguu yako sehemu unainuka na kurudi.
Nisaidie jinsi ya kuset mi band yangu nijue total number ya calories nilioban nikifanya zoeziLeo nimepiga pushups 6. Squats 40. Kata tumbo 30. Nikakimbia km 9. Nimeburn caloeies 1200.
Unatumia simu gani?Nisaidie jinsi ya kuset mi band yangu nijue total number ya calories nilioban nikifanya zoezi
Xiaomina niko na mi band 3Unatumia simu gani?
Inaitwa "isometric push up" yani pushu up moja I natumia 10 sec, hazina ubabaishaji hizoPush up nzuri unatakiwa upige deep na taratibu , unashuka chini unatulia halafu unapanda unatulia , ukipiga push up namna hii kwa set utaona matokeo mazuri Sana.
Abdominal crunchesUnalala chali, unabana miguu yako sehemu unainuka na kurudi.