Dannis
JF-Expert Member
- Jan 21, 2016
- 1,603
- 1,702
Ahsante kwa ushauri Mkuu.
Mfano jana jioni nimepiga moja nzuri ile nataka kuendelea nkajikuta nimelala chini. [emoji28][emoji28][emoji28]
Ila naamini mdogo mdogo nitaweza.
Mtani unataka kuwa bausa?[emoji16][emoji16]