Wapenzi wa Simba, huyu mama CEO kama tutakuwa naye tutalia sana

Kubali tu kuwa UMEPUYANGA

Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
 
Duh.....mkurupuko huu,UTAJUA HUJUI

Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
 
Tatizo siyo Barbara , timu haina mfumania nyavu wa uhakika unategemea Barbara akafunge mabao.

Wafanye usajili wa uhakika tu tupate matokeo huwezi sikia hizi songombingo ndogo ndogo toka sijui kwa nani..

Timu ilijisahau na ule ubingwa miaka 4 , sasa ni vizuri wafanye marekebisho tena ya uhakika kurudisha furaha Msimbazi.

Klabu ifanye maamuzi kuna wachezaji pale umri ushaenda , tunahitaji vijana wapambane uwanjani kuleta matokeo .

Furaha ya mpira ni magoli na ushindi, sasa kama tunasumbuliwa na Prison ,Polisi Tz sijui Mbeya City , Kagera Sugar , Mtibwa kuna kitu lazima benchi la ufundi likifanyie kazi.
 
Una uhakika gani Morrison anasema ukweli? Umesikia maelezo ya upande wa pili?
 
Barbra yupo sana. Dogo nenda ukanye ulale ndicho akili yako inaweza na siyo football management
 
Hata ukimleta Messi pale Simba kwa sasa hakuna kitu.
Wachezaji hawana morali na sababu ni CEO.
Si ni huyu anachuki na Morrison na Chama?
Kwa nini anakubali kupoteza wachezaji kwa sababu ya hisia za kike tu?
 
Una uhakika gani Morrison anasema ukweli? Umesikia maelezo ya upande wa pili?
Upande wa pili upi?
Si ndio hao walitudanganya ameenda kushughulikia matatizo ya familia?
Je Chama yuko wapi?
 
Barbra yupo sana. Dogo nenda ukanye ulale ndicho akili yako inaweza na siyo football management
Yaani akili yako haiwezi kwenda juu kidogo ya kitovu?Imekaa kwenye kinyesi,sehemu za haja ndogo na kubwa uku ukichekelea kama nyani achekaye kundu za wenzie
 
Yaani akili yako haiwezi kwenda juu kidogo ya kitovu?Imekaa kwenye kinyesi,sehemu za haja ndogo na kubwa uku ukichekelea kama nyani achekaye kundu za wenzie
Endelea kuharisha matusi tu wewe mwanaizaya mtoto wa malaya. Maana hata baba yako humjui
 
Ungejua mambo aliyokuwa anafanya morisson kama ya kunywa pombe za malaki na kukataa kulipa bili, kukimbiza watu na chupa, bisibisi na urushi..usingekaa unamtetea. Kwanza amevumiliwa sana huyo
 
Kwahiyo unataka morrison afanye kila anachotaka yeye bila utaratibu? Leo akipewa hiyo release letter kesho akaenda FIFA amevunjiwa mkataba mtakuja tena hapa Simba viongozi hakuna sijui magumashi.
Nani ameongelea release letter?

Morrison afanye anachotaka kipi?
Au Chama alifanya anachotaka kipi?

Simba sio kikundi cha makasisi kwamba hawatakiwi kufanya dhambi,bali ni timu ya vijana ambao wana tabia tofauti.
Huwezi kuwa kiongozi kama utakuwa unahukumu bila kutumia busara.Morrison hawezi kuwa Mugalu,wala Mugalu hawezi kuwa Morrison.
 
Ungejua mambo aliyokuwa anafanya morisson kama ya kunywa pombe za malaki na kukataa kulipa bili, kukimbiza watu na chupa, bisibisi na urushi..usingekaa unamtetea. Kwanza amevumiliwa sana huyo
Huu ni uzushi tu.

Chama alimkibiza mtu na nini?
Acheni mambo hayo Simba sio shule ya seminari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…