Wapenzi wa Simba, huyu mama CEO kama tutakuwa naye tutalia sana

Itasikitisha sana, endapo hizi taarifa zitakua na ukweli...
 
Idadi ya wajinga inaongezeka kwa kasi sana huko Yanga sijui wanakula maharage ya wapi hawa nyani
 
Ndio maana iliwaharibia mpaka udhamini mwenza kwa sababu wa "kike" wana nguvu kuliko wa " kiume". Ni mwanamke mmoja tu alisimama kuwaangusha wanaume wote wakiwemo wa Yanga na TFF kwenye suala la udhamini na mkaufyata.
Kombe vipi amewafanikishia mkalitwaa????

'Siba guvu moya" by da babra
 
Hakika huyu ni mwanamke wa shoka
Ndio maana iliwaharibia mpaka udhamini mwenza kwa sababu wa "kike" wana nguvu kuliko wa " kiume". Ni mwanamke mmoja tu alisimama kuwaangusha wanaume wote wakiwemo wa Yanga na TFF kwenye suala la udhamini na mkaufyata.
 
........NIMESIKIA interview ya Morrison nimesikitishwa sana hasa baada ya KUSIKIA kuwa HUENDA huyu mwanamke ana chuki naye.

Hearsay unafungulia Uzi.
Ona ulivyo popoma; interview umesikia na wala hujasikiliza. Halafu eti baada ya KUSIKIA kuwa HUENDA (hapa huna uhakika). Kazi mnayo UTOPOLO. Acha umbeya mtoto wa kiume.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Naona unamkomalia sana Morrison, ulikuwa unapata % ngapi toka kwake? Naona siyo bure.

Unda timu ya kwako kamchukuwe umchezeshe huko.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Hasara tupu upande huo. Yaani hakuna anayejishughulisha kufuatilia kanuni. Wao wanachojua ni kufungua nyuzi na comments mbovu mbovu.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Hata ukimleta Messi pale Simba kwa sasa hakuna kitu.
Wachezaji hawana morali na sababu ni CEO.
Si ni huyu anachuki na Morrison na Chama?
Kwa nini anakubali kupoteza wachezaji kwa sababu ya hisia za kike tu?
Wangekuwa na morali wangefanya nini? .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…