sabuwanka
JF-Expert Member
- Apr 11, 2015
- 691
- 757
Wana jf salaam,
Miaka kadhaa iliyopita wavaaji wa jeans walionekana ni vijana wa kihuni ,lakini miaka ya karibuni vali hili limezijolea wavaaji wapya wenye heshima zao, licha ya kuwa kwa Tanzania ni vazi lisiloruhusiwa kwa watumishi wa serikali wakati wa saa za kazi..ingawa watumishi wa serikali wanaolipenda vazi hili hulivaa baada ya saa za kazi na weekends, kwangu mie nalipenda kwa sababu zifuatazo
1. Jeans halibagui kiatu kila kiatu linakikubali na lina kupendeza
2. Koti lolote ukilitupia juu ya jeans linakubali vyema
3.mifuko yake mirefu ni salama kuhifadhia pesa na simu bila usumbufu
4. Hata ukiwa mwili mkubwa ,mwili wa shukrani linakupendeza
5. Unaweza kuvaa jeans hata ukisahau kuvaa nguo za ndani ...linakusitiri
6.jeans hata kwa kanzu au dera linakutoa
Hebu na wewe ongezea uzuri wa vazi la Jeans katika kukumaridadisha
Miaka kadhaa iliyopita wavaaji wa jeans walionekana ni vijana wa kihuni ,lakini miaka ya karibuni vali hili limezijolea wavaaji wapya wenye heshima zao, licha ya kuwa kwa Tanzania ni vazi lisiloruhusiwa kwa watumishi wa serikali wakati wa saa za kazi..ingawa watumishi wa serikali wanaolipenda vazi hili hulivaa baada ya saa za kazi na weekends, kwangu mie nalipenda kwa sababu zifuatazo
1. Jeans halibagui kiatu kila kiatu linakikubali na lina kupendeza
2. Koti lolote ukilitupia juu ya jeans linakubali vyema
3.mifuko yake mirefu ni salama kuhifadhia pesa na simu bila usumbufu
4. Hata ukiwa mwili mkubwa ,mwili wa shukrani linakupendeza
5. Unaweza kuvaa jeans hata ukisahau kuvaa nguo za ndani ...linakusitiri
6.jeans hata kwa kanzu au dera linakutoa
Hebu na wewe ongezea uzuri wa vazi la Jeans katika kukumaridadisha