Wapenzi wa timu ya Chelsea na Bilionea wenu Roman Abromavich mnachangia mgogoro wa Ukraine. Bunge la Uingereza lataka mali za bilionea huyo zikamatwe

Wapenzi wa timu ya Chelsea na Bilionea wenu Roman Abromavich mnachangia mgogoro wa Ukraine. Bunge la Uingereza lataka mali za bilionea huyo zikamatwe

YEHODAYA

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2015
Posts
36,902
Reaction score
52,001
Wapenzi wa timu ya Chelsea na Bilionea Tajiri wenu Roman Abromavich mnachangia mgogoro wa Ukraine bunge uingereza lataka mali za bilionea huyo zikamatwe na anyanganywe timu ya Chelsea kwa sababu yeye rafiki mkubwa wa Putin na ana uhusiano na biashara zake na Russia zinazotakiwa kuwa freezed za Russia na washirika wake bunge la uingereza jana wameongea

Wewe mpenzi wa Chelsea wachezaji wenu watakula kwa mama ntilie au waje kwetu Manchester United tuwape chakula.
 
Utakuwa chizi Roman abramovich ni muyahudi mwenye asili ya Urusi. Mwenzio anazijua siasa za kimataifa na alishajiandaa kitambo kuhusu mambo ya uraia.
 
Wapenzi wa timu ya Chelsea na Bilionea Tajiri wenu Roman Abromavich mnachangia mgogoro wa Ukraine bunge uingereza lataka mali za bilionea huyo zikamatwe na anyanganywe ...
Pia Ikumbukwe Mr Roman Pia Ni Raia wa Israel na Kinachompa uhalali wa kuingia UK Ni Uraia wa Israel....
 
Huu mgogoro naona media zimeshawalisha upuuzi kuwa Ukraine anaonewa. Hakuna kiongozi mjinga atakayeamua kuingiza nchi yake kwenye vita kirahisi. Lazima kuna kitu.
 
Amesharudi na kufanya makazi yake ya kudumu Isarel toka 2018. Na ni raia wa Isarel pia, alifanya hivi baada ya Putin kuanza kumfuatilia
 
Amesharudi na kufanya makazi yake ya kudumu Isarel toka 2018. Na ni raia wa Isarel pia, alifanya hivi baada ya Putin kuanza kumfuatilia
Kwani Putin Alianza Kumfuatilia Mr Roman?
 
Kwani Putin Alianza Kumfuatilia Mr Roman?
Yap- Ni historia ndefu kidogo, kwa kifupi Putin anamtuhumu Roman kuiibia Urusi wakati wa Gobachev akiwa rais. Na anataka Roman arudishe kiasi cha pesa alichopata wakati anamikiki mashirika ya Gas na mafuta Mr. Roman aliyoyanunua miaka ya 90 wakati Sovieti iliposambaratika Alalamikiwa kuyanunua hayo mashirika kifisadi na kujipatia pesa nyingi isivyo halali
 
Amesharudi na kufanya makazi yake ya kudumu Isarel toka 2018. Na ni raia wa Isarel pia, alifanya hivi baada ya Putin kuanza kumfuatilia
Waingereza ndo walioanza kumfatilia kutokana na ukaribu wake na Putin .....hadi wakagoma kumpatia visa ndo akaamua kuchukua uraia wa Israel ila kwa sasa ana uraia wa Portugal mwanachama wa EU
Screenshot_20220225-122225_Samsung Internet.jpg
 
Back
Top Bottom