Kila nikisoma jukwaa hili najiuliza hivi kuna watu waliowahi kukutana tu jf wakafahamiana na baadae wakajuana na hata kufunga ndoa? sometimes naamini hii inawezekana lakini nataka watu waliopitia hapa waje watoe shuhuda zao na jinsi walivyokutana sina maana mbaya ila tu hii itasaidia wanajf wengine kuliamini jukwaa hili na pia kwa wale wanaobeza waweze kujua kuwa haya mambo yanawezekana. hata walioshuhudia ndoa hizo pia waje watoe ushuhuda
karibuni wadau kuchangia kama huna cha kuchangia pita tu kimya kwani wastaarabu wataleta busara zao hapa.
karibuni wadau kuchangia kama huna cha kuchangia pita tu kimya kwani wastaarabu wataleta busara zao hapa.