Wapenzi waliokutana jf na kubahatika kufunga ndoa /walioanza michakato ya ndoa

Wapenzi waliokutana jf na kubahatika kufunga ndoa /walioanza michakato ya ndoa

Kupitia hili jukwaa nishawamega mademu kibao Kwa gea ya kuwaoa.

Niliamua kua mmegaji baada ya kuingizwa king na demu mmoja muuzaji mzuri tu wa nanii!
 
Aisee,take my word, dnt try hook a girl/woman here. You don't want to regret. You dnt wanna go thru my kind of experience.
Or you cn take some benefit of doubt and hope it works for you. Everyday isn't Thursday. An exception to every general rule.You will PM me aftr sm time,esp whn it works. Dnt worry,i won't be suprised if it didn't and you think you should've listened to me. It's called an afterthought at best,or regrets at worst.
 
Aisee,take my word, dnt try hook a girl/woman here. You don't want to regret. You dnt wanna go thru my kind of experience.
Or you cn take some benefit of doubt and hope it works for you. Everyday isn't Thursday. An exception to every general rule.You will PM me aftr sm time,esp whn it works. Dnt worry,i won't be suprised if it didn't and you think you should've listened to me. It's called an afterthought at best,or regrets at worst.

You have a point son. Kama watakusoma kwa makini japokuwa si lazima wote wawe wa aina moja. Thursday is also a day.
 
Wamo Mkuu lakini bahati mbaya sana mmoja wao au wote huwa hawataki kujitangaza hapa kwamba wamefahamiana hapa wakaanza urafiki wa kimapenzi hadi kufikia kufunga pingu za maisha, labda siku za usoni wengi watajitokeza.
 
Yaani hadi uje kusaka mchumba humu,wewe maeneo unayoishi na kutembelea hakuna watu????


wanakuwepo ila pipo zinatafuta adventure bana ,,,,, maisha ni all about excitement , unakaa miaka 2 wala hujawahi kupata adrenalin rush kwenye spine bana,,,,,,,,,
 
Mwingine una wasiliana nae unamuomba kubadilishana namba ili kuweza kuwasiliana zaidi anakuambia tuwasiliane Facebook! Seriously? Unaogopa nn Kama upo serious?
 
i met my love si hapa love connect but ndani jf humuhumu and we will be married in 2 months to come.....
 
Kupitia hili jukwaa nishawamega mademu kibao Kwa gea ya kuwaoa.

Niliamua kua mmegaji baada ya kuingizwa king na demu mmoja muuzaji mzuri tu wa nanii!

Pole Kwa kutendwa ila kugegeda ovyo sio resolution,, Try God instead and you will live a very peaceful and happy life....
 
Mie hapa... niko kwenye mchakato! Ni kweli kabisa mkuu... wala usiogope


Inakuwaga ngumu sana kuiamini jf hasa pande hii. Huwa naamini amini kwenye siasa tu. Otherwise inabidi nije niwe mwanakamati.
 
Aisee,take my word, dnt try hook a girl/woman here. You don't want to regret. You dnt wanna go thru my kind of experience.
Or you cn take some benefit of doubt and hope it works for you. Everyday isn't Thursday. An exception to every general rule.You will PM me aftr sm time,esp whn it works. Dnt worry,i won't be suprised if it didn't and you think you should've listened to me. It's called an afterthought at best,or regrets at worst.

what happened mkuu?
 
Hapa kuna wavuta bangi tu na wavuta sigara na waomba vocha. Na wala unga. Wengine wameoa na wengine kuolewa wakitaka kusaliti ndoa zao wanajifanya wanatafuta wachumba jf. Sijui lakini labda wapo walio bahatika humu ndani.

Nadhani wanogegedana wapo sana tu
 
Nadhani wanogegedana wapo sana tu

Lol humu du inabidi kuwa very careful yaani kuna kila aina watu,tena kunakamtandao kanatisha humu hakuna cha wanaume hakuna cha wanawake hakuna cha wanaume wazee hakuna cha vijana hakuna cha wamama wazee hakunacha mabinti wazee wote swaga zao moja.Siri za humu zingekuwa zinawekkwa wazi lol,kuna watu hadhi zao zingeporomoka ghafla
 
Back
Top Bottom