Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mie hapa... niko kwenye mchakato! Ni kweli kabisa mkuu... wala usiogope
Yaani hadi uje kusaka mchumba humu,wewe maeneo unayoishi na kutembelea hakuna watu????
Aisee,take my word, dnt try hook a girl/woman here. You don't want to regret. You dnt wanna go thru my kind of experience.
Or you cn take some benefit of doubt and hope it works for you. Everyday isn't Thursday. An exception to every general rule.You will PM me aftr sm time,esp whn it works. Dnt worry,i won't be suprised if it didn't and you think you should've listened to me. It's called an afterthought at best,or regrets at worst.
Toa mkwanja mtu aje afunguke,elfu 60,000 tu anasema story yake ni hati miliki sio ya kushare bure
Yaani hadi uje kusaka mchumba humu,wewe maeneo unayoishi na kutembelea hakuna watu????
si ndo hapo wengine wana mapungufu mazingira wanayoish watu hawawataki au walishawachoka ndio wanakuja kutafuta huku
A u sure!!
Kupitia hili jukwaa nishawamega mademu kibao Kwa gea ya kuwaoa.
Niliamua kua mmegaji baada ya kuingizwa king na demu mmoja muuzaji mzuri tu wa nanii!
Mie hapa... niko kwenye mchakato! Ni kweli kabisa mkuu... wala usiogope
Aisee,take my word, dnt try hook a girl/woman here. You don't want to regret. You dnt wanna go thru my kind of experience.
Or you cn take some benefit of doubt and hope it works for you. Everyday isn't Thursday. An exception to every general rule.You will PM me aftr sm time,esp whn it works. Dnt worry,i won't be suprised if it didn't and you think you should've listened to me. It's called an afterthought at best,or regrets at worst.
Hapa kuna wavuta bangi tu na wavuta sigara na waomba vocha. Na wala unga. Wengine wameoa na wengine kuolewa wakitaka kusaliti ndoa zao wanajifanya wanatafuta wachumba jf. Sijui lakini labda wapo walio bahatika humu ndani.
Nadhani wanogegedana wapo sana tu