Valentina
JF-Expert Member
- Oct 12, 2013
- 24,684
- 28,777
i met my love si hapa love connect but ndani jf humuhumu and we will be married in 2 months to come.....
Hongeren sana,Mungu aibarik ndoa yenu iwe mfano wa kuigwa kwa mazur
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
i met my love si hapa love connect but ndani jf humuhumu and we will be married in 2 months to come.....
Toa mkwanja mtu aje afunguke,elfu 60,000 tu anasema story yake ni hati miliki sio ya kushare bure
Mm nilim PM mmoja eti anataka nimtumie hela kwanza wakati wala hatujawahi kuonana ,je huo si wizi wakuu?
Mi mwenyewe single and searching!....na hata masingo wapo, dont generalize..
Kila nikisoma jukwaa hili najiuliza hivi kuna watu waliowahi kukutana tu jf wakafahamiana na baadae wakajuana na hata kufunga ndoa? sometimes naamini hii inawezekana lakini nataka watu waliopitia hapa waje watoe shuhuda zao na jinsi walivyokutana sina maana mbaya ila tu hii itasaidia wanajf wengine kuliamini jukwaa hili na pia kwa wale wanaobeza waweze kujua kuwa haya mambo yanawezekana. hata walioshuhudia ndoa hizo pia waje watoe ushuhuda
karibuni wadau kuchangia kama huna cha kuchangia pita tu kimya kwani wastaarabu wataleta busara zao hapa.
asante kwa ushuhuda ngoja nikaze buti
RØMANCE LIFË;7699338 said:yap kaza but 2 utapata wory out
asante kwa ushuhuda ngoja nikaze buti
weweje? tayari?
Namshukuru Mungu mm nililenga sehemu ya ukweli kwa mdada mwenye uelewo na sasa nasubiri tu jibu nitangaze mchakato!Naomba dua zenu posa ikubaliwe.Umegonga mule mule kabisa.
Humu usipokuwa makini unaula wa chuya!!!
Even me nimempata mchumba wangu kipenzi kupitia hili jukwaa. Nashindwa kuelewa ni kwanini watu wengi hawaamini kama inawezekana kumpata mtu mwenye mapenzi ya dhati kupitia mitandaoni, na wakati hawo hawo tunaokutana nao kwenye mabasi, nyumba za ibada, michezoni au hata mitaani ndio hawo pia tunakutana nao mitandaoni.
Nadhani watu wengi wanapoona mtu umetoa thread yako humu ya kutafuta mchumba na baadhi ya members wanavyo respond kwa comments za kuvunja moyo na kukebehi wanadhani kwamba haiwezekani kumpata the right person. Ila wanatakiwa wafahamu kuwa unapotoa thread humu wengi wanaochangia ni JF registered members na ndio wengi wenye majibu ya kuvunja moyo, lakini pia kuna non-registered JF members ambao wapo serious na wana browse hizo thread na wanatafuta pia wachumba.
Ningependa nitoe ushauri kwa wanaotafuta wachumba humu, unapotoa thread yako basi ni vizuri ukaweka pia other private email addresses, ili hata wale ambao sio JF-registered members waweze kukutafuta. Natamka hivi kwakuwa hata msichana wangu niliebahatika kumpata hakuwa ni registered member humu bali aliona tu email yangu kwenye baadhi ya thread nilizotoa then akanitumia email.
Wakuu sio siri, naomba niseme mashaallah! Namshukuru Mungu sana kwakuwa niliempata nahisi ametimiza 99.99% ya sifa nilizokuwa nazihitaji kwa msichana awe nazo. Na mpaka sasa tupo kwenye relation inakaribia miezi kama sita sasa na tunakaribia kwenda kutambulishana kwa wazazi.
Alinipenda, akaniamini na kunipa moyo wake, pamoja na umasikini wangu na ukizingatia nilikuwa sina hata ajira ya maana kipindi wakati tulipokutana. Kiukweli nampenda sana na sitarajii kumuacha wala kumsaliti mke wangu mtarajiwa, nampenda sana.
Kwahiyo wazee ile dhana ya kudharau na kutoamini kuwa huwezi kumpata mke au Mume bora kupitia mitandaoni sometimes sio kweli, mimi naamini ukiwa makini na mkweli utampata tu atakaekufaa.