Kila nikisoma jukwaa hili najiuliza hivi kuna watu waliowahi kukutana tu jf wakafahamiana na baadae wakajuana na hata kufunga ndoa? sometimes naamini hii inawezekana lakini nataka watu waliopitia hapa waje watoe shuhuda zao na jinsi walivyokutana sina maana mbaya ila tu hii itasaidia wanajf wengine kuliamini jukwaa hili na pia kwa wale wanaobeza waweze kujua kuwa haya mambo yanawezekana. hata walioshuhudia ndoa hizo pia waje watoe ushuhuda
karibuni wadau kuchangia kama huna cha kuchangia pita tu kimya kwani wastaarabu wataleta busara zao hapa.
Hapa kuna wavuta bangi tu na wavuta sigara na waomba vocha. Na wala unga. Wengine wameoa na wengine kuolewa wakitaka kusaliti ndoa zao wanajifanya wanatafuta wachumba jf. Sijui lakini labda wapo walio bahatika humu ndani.
Mie hapa... niko kwenye mchakato! Ni kweli kabisa mkuu... wala usiogope
Hongera zako...Mie hapa... niko kwenye mchakato! Ni kweli kabisa mkuu... wala usiogope
Hapa kuna wavuta bangi tu na wavuta sigara na waomba vocha. Na wala unga. Wengine wameoa na wengine kuolewa wakitaka kusaliti ndoa zao wanajifanya wanatafuta wachumba jf. Sijui lakini labda wapo walio bahatika humu ndani.
Kila nikisoma jukwaa hili najiuliza hivi kuna watu waliowahi kukutana tu jf wakafahamiana na baadae wakajuana na hata kufunga ndoa? sometimes naamini hii inawezekana lakini nataka watu waliopitia hapa waje watoe shuhuda zao na jinsi walivyokutana sina maana mbaya ila tu hii itasaidia wanajf wengine kuliamini jukwaa hili na pia kwa wale wanaobeza waweze kujua kuwa haya mambo yanawezekana. hata walioshuhudia ndoa hizo pia waje watoe ushuhuda
karibuni wadau kuchangia kama huna cha kuchangia pita tu kimya kwani wastaarabu wataleta busara zao hapa.
Weewe!
Hapa kuna member wameoana!
Wengine wameibiana!
Wengine wanabanduana then wanakuja kupakaziana hapa hapa jamvini!!!
.....
CHEZEA JF WEYEEE!
Mm nilim PM mmoja eti anataka nimtumie hela kwanza wakati wala hatujawahi kuonana ,je huo si wizi wakuu?
Mm nilim PM mmoja eti anataka nimtumie hela kwanza wakati wala hatujawahi kuonana ,je huo si wizi wakuu?
Yaani hadi uje kusaka mchumba humu,wewe maeneo unayoishi na kutembelea hakuna watu????
si ndo hapo wengine wana mapungufu mazingira wanayoish watu hawawataki au walishawachoka ndio wanakuja kutafuta huku