Wapenzi wangu wa zamani wameolewa lakini naendelea kuwatafuna kama kawaida

Wapenzi wangu wa zamani wameolewa lakini naendelea kuwatafuna kama kawaida

Kuna wale wanawake huingia kwenye ndoa sababu ya changamoto za maisha au msukumo wa wazazi, wakati yote hayo yanatokea unaweza kuta alikua kwenye mahusiano ambayo aliyafurahia kabla hajaingia kwenye ndoa, ndani ya ndoa atakutana na mikiki mingi na atamkumbuka musa au john kuwa bado yupo ambae alikua furaha yake unategemea nini,


Hakunaga kitu halisi kwenye ndoa labda watoto tu, wanamfatilia Jokajeusi wanaelewa vizuri
 
Kuna wale wanawake huingia kwenye ndoa sababu ya changamoto za maisha au msukumo wa wazazi, wakati yote hayo yanatokea unaweza kuta alikua kwenye mahusiano ambayo aliyafurahia kabla hajaingia kwenye ndoa, ndani ya ndoa atakutana na mikiki mingi na atamkumbuka musa au john kuwa bado yupo ambae alikua furaha yake unategemea nini,


Hakunaga kitu halisi kwenye ndoa labda watoto tu, wanamfatilia Jokajeusi wanaelewa vizuri


Mimi wataniona mnoko
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
First time nasoma nondo zako nlikwazika ila nikasema nijipe muda niiruhusu akili yangu ikuelewe na nikakuelewa, mwanzo nilikwazika sababu nilikujudge kwa kutumia hisia kama vile mtoto wa kike, later nilikuja kukujudge kwa kutumia akili.....


Dear Boys, dear Men
 
Sijaona 'significant' difference kabla hawajaolewa na baada ya kuolewa. Naendelea kuwabinya kama kawa. Labda tofauti ndooogo iliopo ni vizinga. Sasa hivi hawanipigi mizinga ya kipumbavu. Si wanahudumiwa na waume zao bana? Sana sana huwa naingia gharama za nauli kuwavuta waje machinjioni.

Maana wanawake bana. Hata kama anataman apigwe mashine bado atajifanya hataki, mpaka uoneshe kweli na wewe unamuhitaji. Wapo watatu, walikuaga madem zangu kwa vipindi tofauti hapo nyuma. Sasa hivi wote wameolewa. Sema nitawazungumzia wawili kwa leo, Hidaya na Nasra. Huwa najiuliza nini hasa kinawafanya bado wanatoka nje ya ndoa zao.

Yaani mtu anafunga safari ya kilometer 35 kuja kupigwa mshedede halaf anarudi tena 35 zingine. Kweli sijapataga majibu ya uhakika. Nabaki kukisia tu.

Mfano Hidaya, mume wake kimaisha amenichapa gape, amenizidi. Yes. Mimi najua na Hidaya anajua hilo. Sasa mbona bado anaendelea kuniletea papa najichapia navotaka?

Nasra kusema kweli mume wake hajanizidi maisha kivile. Wala mimi sijamzidi. Ni kama tuko level moja tu. Sasa shida nini? Tena huyu Nasra aliniachaga kwa ugomvi kabisa, then fasta akatolewa mahari na mshikaji.

Sijui waume zao pengine wako 'bize' sana na utafutaji, kujenga familia? Kiasi kwamba muda wa kuwahudumia wake zao unakua mdogo. Sijui mie. Maana wakijaga kwangu hakunaga muda wa ku discuss maisha sijui kujijenga kimaisha. Kwangu ni 'ukuni' tu... Familia kajenge kwako na mumeo.

Watu: Mke wa mtu sumu jombaa. achana nao kabisa!

Mimi: Poaaa.

Watu: Karma is real, na wewe mkeo atakua anagongwa hovyo!

Mimi: Poaaa.

Wakati tunaumenya mwaka mpya 2021 nilikua nishaamua kabisa, rasmi naachana na wanawake nisiokua na future nao. Wakiwemo wao. Lengo nipate kutulia na mtoto mmoja nifunge nae ndoa. Aaaah, manzi wangu nae mara anivuruge, mara atulie. Shida ya nini... kupoza maganzi najikuta navunja miadi yangu. Basi naendelea kujipigia viporo vyangu hadi leo.

Sema piga ua garagaza, ikifika December 2021 naachana nao mazima. Maana wananifanya nisahau suala la kujenga familia yangu wakati wao wana zao.
Hapo mwisho hapo wa bandiko ni muhimu kweli.
 
Uzuri ni kwamba zinaa ni deni hili malipo yake hapa hapa duniani...!
Unapooona raha kuwapiga ukuni wake za watu basi naww utaoa mkeo atakuja kunjwa tu...Tena anaweza kupigwa ukuni na mshikaj wako wa faida...hivyo hivyo unapofurahia kuwainamisha watoto,wadada wa wenzio jiandae malipo ya wanao wakike kuja kupigwa ukuni ndani ya nyumba uliyojenga mwenyewe
Usipowagonga mabinti, inakua kinga ya mabinti zako kutogongwa?
 
Sijaona 'significant' difference kabla hawajaolewa na baada ya kuolewa. Naendelea kuwabinya kama kawa. Labda tofauti ndooogo iliopo ni vizinga. Sasa hivi hawanipigi mizinga ya kipumbavu. Si wanahudumiwa na waume zao bana? Sana sana huwa naingia gharama za nauli kuwavuta waje machinjioni.

Maana wanawake bana. Hata kama anataman apigwe mashine bado atajifanya hataki, mpaka uoneshe kweli na wewe unamuhitaji. Wapo watatu, walikuaga madem zangu kwa vipindi tofauti hapo nyuma. Sasa hivi wote wameolewa. Sema nitawazungumzia wawili kwa leo, Hidaya na Nasra. Huwa najiuliza nini hasa kinawafanya bado wanatoka nje ya ndoa zao.

Yaani mtu anafunga safari ya kilometer 35 kuja kupigwa mshedede halaf anarudi tena 35 zingine. Kweli sijapataga majibu ya uhakika. Nabaki kukisia tu.

Mfano Hidaya, mume wake kimaisha amenichapa gape, amenizidi. Yes. Mimi najua na Hidaya anajua hilo. Sasa mbona bado anaendelea kuniletea papa najichapia navotaka?

Nasra kusema kweli mume wake hajanizidi maisha kivile. Wala mimi sijamzidi. Ni kama tuko level moja tu. Sasa shida nini? Tena huyu Nasra aliniachaga kwa ugomvi kabisa, then fasta akatolewa mahari na mshikaji.

Sijui waume zao pengine wako 'bize' sana na utafutaji, kujenga familia? Kiasi kwamba muda wa kuwahudumia wake zao unakua mdogo. Sijui mie. Maana wakijaga kwangu hakunaga muda wa ku discuss maisha sijui kujijenga kimaisha. Kwangu ni 'ukuni' tu... Familia kajenge kwako na mumeo.

Watu: Mke wa mtu sumu jombaa. achana nao kabisa!

Mimi: Poaaa.

Watu: Karma is real, na wewe mkeo atakua anagongwa hovyo!

Mimi: Poaaa.

Wakati tunaumenya mwaka mpya 2021 nilikua nishaamua kabisa, rasmi naachana na wanawake nisiokua na future nao. Wakiwemo wao. Lengo nipate kutulia na mtoto mmoja nifunge nae ndoa. Aaaah, manzi wangu nae mara anivuruge, mara atulie. Shida ya nini... kupoza maganzi najikuta navunja miadi yangu. Basi naendelea kujipigia viporo vyangu hadi leo.

Sema piga ua garagaza, ikifika December 2021 naachana nao mazima. Maana wananifanya nisahau suala la kujenga familia yangu wakati wao wana zao.
Marehem alikuwa mgoni sana
 
Na wote yaliyowakuta makubwa walikua wanajiona wamba kama wewe,mpaka walipoingia 18 bila kujielewa.
 
Usipowagonga mabinti, inakua kinga ya mabinti zako kutogongwa?
Ni njia tunayotumia kujifariji. Kwamba anataka kusema hawa mabinti wote wanaogongwa huku mjini nao baba zao waligonga mabinti wa wenzao..?
 
Siku ukiliwa kiboga na ww uje uweke uzi hapa kuwa wake za watu ni sumu hata maziwa hayaoni ndani
 
Naaam huwa hivyo...! Ila kila unavyowainamisha wake za watu na watoto lazima uje ulipwe...! Wanavyoumia wazee kugongewa watoto wao lazima naww uje uumizwe hivyo hivyo....!..

.
Usipowagonga mabinti, inakua kinga ya mabinti zako kutogongwa?
 
Back
Top Bottom