Wapenzi wangu wa zamani wameolewa lakini naendelea kuwatafuna kama kawaida

Mlolongo kweli kweli

Sent from my SM-G9250 using JamiiForums mobile app
 
ukweli ni kwamba, kufanya mapenzi na mtu ni kuingia mafungamano naye kiroho. Ndio maana Mungu aliweka chapa kwa mwanamke. Hii ya kuoa, sawa unaoa lakini ni ndoa za vifurushi. Watu wanapita kama kawaida, sema usiri ni mkubwa.
 
Mzeya mbususu kama wanaileta wewe isasambue tuu wamewekwa hapa duniani kwa ajili yetu...hivyo tuwape mautamu kama wanavyotupa wao
 
lete popcorns na soda ya baridi ,tuendelee kucheki hii movie ya kibongo
 
...Jitahidi kutembea na kichupa kidogo cha Vaselini Ndugu.
Za Mwizi ni 40 ![emoji846]
 
...Na Aombe kweli isije ikawa kwa Watoto wa Kiume!!![emoji45][emoji45]
 
Wanawake wote including Mama yako, wanaweza jiuza kwa wanaume zaidi ya 10 kwa siku na kila mtu akatosheka na kwenda zake, wengine wanaojieshimu ndo unakuta na bwana mmoja tu, hao unaopiga ni vicheche na inawezekana siyo wewe tu kuna wengine kama wewe wako kumi au zaidi, akitoka kwako anaenda kwa mwingine, akishiba anarudi nyumbani kwa mume wake. Kwani wewe ufanani na baba yako hata kidogo, muulize mama yako alikokuwa anapeleka kwa kupanda uda, anamudanganya unayemwita baba yako anaenda kupigwa machine na wewe ukatokea uko tandale. Hayo ni mashimo ya taka tu, hicho kisosegi chako uwezi muridhisha mwanamke ni heshima tu.
 
Yusufuuuu [emoji849 kazi umepata kwanza au]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…