NgerukeAbra
JF-Expert Member
- Sep 5, 2022
- 1,336
- 2,008
Mimi siendiWadau hamjamboni nyote?
Kichwa cha habari chahusika
Hizi ni tetesi zinasambaa kwa kasi mtaani japo hakuna mtu aliyejitokeza kushuhudia na kuthibitisha ukweli wake
Kwamba wahusika hawatokwenda kwa wingi kama desturi yao kwa kukosa Imani na boti yao
Naomba kama yupo mwenzetu ndani ya jukwaa hili huru kabisa atujuze
Niwatakie usiku mwema wenye baraka tele na Kila la kheri jumamosi ya tarehe 20
Soma tena comment yangu, mimi kuwaongelea gamblers haimaanishi kuwa ni mmoja wao ila nimeandika uhalisia tu, na hapa naongelea imani za watu kabla ya mechi na siyo namna mechi ilivyochezwaKumbe wewe ni gambler, mimi naongelea mechi husika na sio kamari.
Barca siwaamini sana, ile game ilikua open mkuu, yeyote angeweza kushinda.Soma tena comment yangu, mimi kuwaongelea gamblers haimaanishi kuwa ni mmoja wao ila nimeandika uhalisia tu, na hapa naongelea imani za watu kabla ya mechi na siyo namna mechi ilivyochezwa
Ulikaa nao mkakubaliana au ni tetesi ulizojitungia tu?Maana utopolo mmerithi midomo kwa mzze yule mvaa barghashia.Wadau hamjamboni nyote?
Kichwa cha habari chahusika
Hizi ni tetesi zinasambaa kwa kasi mtaani japo hakuna mtu aliyejitokeza kushuhudia na kuthibitisha ukweli wake
Kwamba wahusika hawatokwenda kwa wingi kama desturi yao kwa kukosa Imani na boti yao
Naomba kama yupo mwenzetu ndani ya jukwaa hili huru kabisa atujuze
Niwatakie usiku mwema wenye baraka tele na Kila la kheri jumamosi ya tarehe 20
Ni wewe ndiye ambaye huwaamini mkuu, lakini barca wako vizuri kulinganisha na psg, watu wengi wanaojua mpira walijua wale wafaransa ndio basi tenaBarca siwaamini sana, ile game ilikua open mkuu, yeyote angeweza kushinda.
Kumpa direct win au kutarajia barca kushinda 90% ni ushabiki huo aisee.
Sawa.Ni wewe ndiye ambaye huwaamini mkuu, lakini barca wako vizuri kulinganisha na psg, watu wengi wanaojua mpira walijua wale wafaransa ndio basi tena
umesahau Moja mkuu', NGURUWE FC 🤣Sisi ndiyo Simba SC AKA;
1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Mikia SC.
8. Mazumbukuku SC.
9. Manyaunyau (mapaka) SC.
10. Manyang'au SC.
11. Miso Misondo SC.
12. Mwakarobo SC.
13. Mazombi SC.
14. Kolokhamsa SC.
15. Kolowizards SC.
16. Kinyume nyume SC.
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Bahasha SC.
20. Ngada SC.
21. Kufa Kiume SC.
22. Masandakolozidad SC.
23. 5imba SC.View attachment 2966424
unataka kusemaje kwani? 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Jichekesheni tu...
Bayern Munich walishawahi kupigwa 9-0 na hawajafa.
Nishasema utopwinyo Pro...😜🤣👋unataka kusemaje kwani? 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi natamani tu kujua mashabiki wa yanga wameipa timu gani ushindi huko kwenye mikeka, maana mimi huku kila shabiki wa yanga ninayemuambia tubet tumpe yanga ushindi, maana ni uhakika pesa lazima irudi na faida juu eti hataki
Huo ndio ukweliWadau hamjamboni nyote?
Kichwa cha habari chahusika
Hizi ni tetesi zinasambaa kwa kasi mtaani japo hakuna mtu aliyejitokeza kushuhudia na kuthibitisha ukweli wake
Kwamba wahusika hawatokwenda kwa wingi kama desturi yao kwa kukosa Imani na boti yao
Naomba kama yupo mwenzetu ndani ya jukwaa hili huru kabisa atujuze
Niwatakie usiku mwema wenye baraka tele na Kila la kheri jumamosi ya tarehe 20