Wapenzi washabiki na Wanachama wengi wa Simba kutoenda kwa Mkapa Jumamosi hii

Wapenzi washabiki na Wanachama wengi wa Simba kutoenda kwa Mkapa Jumamosi hii

Wadau hamjamboni nyote?
Kichwa cha habari chahusika

Hizi ni tetesi zinasambaa kwa kasi mtaani japo hakuna mtu aliyejitokeza kushuhudia na kuthibitisha ukweli wake

Kwamba wahusika hawatokwenda kwa wingi kama desturi yao kwa kukosa Imani na boti yao

Naomba kama yupo mwenzetu ndani ya jukwaa hili huru kabisa atujuze

Niwatakie usiku mwema wenye baraka tele na Kila la kheri jumamosi ya tarehe 20
Mimi siendi
 
The best result’s for the future kwa simba nikufungwa,wakishinda watabweteka and they won’t change much next season.
 
Kumbe wewe ni gambler, mimi naongelea mechi husika na sio kamari.
Soma tena comment yangu, mimi kuwaongelea gamblers haimaanishi kuwa ni mmoja wao ila nimeandika uhalisia tu, na hapa naongelea imani za watu kabla ya mechi na siyo namna mechi ilivyochezwa
 
Team yenyewe imekimbilia zanzibar, wanaweza hata wasije wale, haha
 
Soma tena comment yangu, mimi kuwaongelea gamblers haimaanishi kuwa ni mmoja wao ila nimeandika uhalisia tu, na hapa naongelea imani za watu kabla ya mechi na siyo namna mechi ilivyochezwa
Barca siwaamini sana, ile game ilikua open mkuu, yeyote angeweza kushinda.
Kumpa direct win au kutarajia barca kushinda 90% ni ushabiki huo aisee.
 
Wadau hamjamboni nyote?
Kichwa cha habari chahusika

Hizi ni tetesi zinasambaa kwa kasi mtaani japo hakuna mtu aliyejitokeza kushuhudia na kuthibitisha ukweli wake

Kwamba wahusika hawatokwenda kwa wingi kama desturi yao kwa kukosa Imani na boti yao

Naomba kama yupo mwenzetu ndani ya jukwaa hili huru kabisa atujuze

Niwatakie usiku mwema wenye baraka tele na Kila la kheri jumamosi ya tarehe 20
Ulikaa nao mkakubaliana au ni tetesi ulizojitungia tu?Maana utopolo mmerithi midomo kwa mzze yule mvaa barghashia.
 
Barca siwaamini sana, ile game ilikua open mkuu, yeyote angeweza kushinda.
Kumpa direct win au kutarajia barca kushinda 90% ni ushabiki huo aisee.
Ni wewe ndiye ambaye huwaamini mkuu, lakini barca wako vizuri kulinganisha na psg, watu wengi wanaojua mpira walijua wale wafaransa ndio basi tena
 
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.

2. Mbumbumbu SC.

3. Mipang'ang'a SC.

4. Malalamiko SC.

5. Makelele SC.

6. Madunduka SC.

7. Mikia SC.

8. Mazumbukuku SC.

9. Manyaunyau (mapaka) SC.

10. Manyang'au SC.

11. Miso Misondo SC.

12. Mwakarobo SC.

13. Mazombi SC.

14. Kolokhamsa SC.

15. Kolowizards SC.

16. Kinyume nyume SC.

17. Zuwena SC.

18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.

19. Bahasha SC.

20. Ngada SC.

21. Kufa Kiume SC.

22. Masandakolozidad SC.

23. 5imba SC.View attachment 2966424
umesahau Moja mkuu', NGURUWE FC 🤣
 
Mimi natamani tu kujua mashabiki wa yanga wameipa timu gani ushindi huko kwenye mikeka, maana mimi huku kila shabiki wa yanga ninayemuambia tubet tumpe yanga ushindi, maana ni uhakika pesa lazima irudi na faida juu eti hataki
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wadau hamjamboni nyote?
Kichwa cha habari chahusika

Hizi ni tetesi zinasambaa kwa kasi mtaani japo hakuna mtu aliyejitokeza kushuhudia na kuthibitisha ukweli wake

Kwamba wahusika hawatokwenda kwa wingi kama desturi yao kwa kukosa Imani na boti yao

Naomba kama yupo mwenzetu ndani ya jukwaa hili huru kabisa atujuze

Niwatakie usiku mwema wenye baraka tele na Kila la kheri jumamosi ya tarehe 20
Huo ndio ukweli
 
Back
Top Bottom