Wapenzi wawili hawanitoshei, Je ni mimi tu au tupo wengi?

Wapenzi wawili hawanitoshei, Je ni mimi tu au tupo wengi?

Kichwamoto

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2019
Posts
3,403
Reaction score
4,692
Hello JF,

Niende kwenye maada, ebana eeh I have tried lots mi kuwa na mademu wawili nimeshindwa hawanitoshi, for two years nimejaribu nibaki na wawili nimeshindwa nilikuwa na Vaileth na Glory, ila wapi imebuma nimeongeza. Jack na Mary, am trymng but when I see women with diverse features udenda unabamba mbaya.


Hivi ni Mimi tu au Budaz niaje leteni visa vyenu, wivu sitaki hapa visa tu kila mmoja ashinde game zake leverage ni goal difference.


Women is Power even away in America but not in Kiev.
 
Umepima ngoma?
Kipimo mapema sana, nakula vitu mbususu inaongea , kuna kitu inaitwa Bull condom baada ya cone inapeleka moto vizuri sana, nina guidance zote za kisukuma kwahio naweza shoo shoo
 
Mkuu kula mbususu za kutosha kabla putin hajaachia mabomu ya nyukilia.
 
Back
Top Bottom