Wapi alipo winga teleza Ramadhan Singano ""Messi""?

Anaenisikitisha ni AME ALLY "ZUNGU", Kutoka MTIBWA to AZAM, to SIMBA na sasa KAGERA na huko na anasugua
Nafikiri wachezaji wetu wakifika kwenye hizi timu kubwa wana relax na kuona km wameshamaliza kila kitu hivyo hawajitumi tena.
 
Winga huyo naona ameshateleza aisee jibu jepesi tuu
Bado ni kijana mdogo sana, akipata watu wa kumjenga kisaikolojia vizuri dogo anaweza kurudisha makali yake tena.
 
Bado ni kijana mdogo sana, akipata watu wa kumjenga kisaikolojia vizuri dogo anaweza kurudisha makali yake tena.
Uzuri/ubaya wa saikolojia unataka utayari wa muhusika mwenyewe.
 
Uzuri/ubaya wa saikolojia unataka utayari wa muhusika mwenyewe.
Ni kweli kabisa mkuu ila ata yeye mwenyewe kwa hali aliyonayo sasa akitokea mtu wa kumu approach kwa lengo la kumsaidia ni imani yangu hawezi kukataa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…