Wapi hapa Dar napata Smart TV bora kabisa?

Wapi hapa Dar napata Smart TV bora kabisa?

Natafuta smart TV nchi 44, kubwa zaidi au karibia na hiyo. Napata wapi hapa mjini Dar hasa maeneo ya Kariakoo?

Je, ni brand ipi bora kwa sasa? Bei yake ikoje?
Kwani wewe ni mgeni wa jiji la Amos, nenda Mlimani city Game utapata achana na Kariakoo utauziwa jina, badala ya kununua Sony utanunua Sonny, badala ya kununua iPhone utanunua Iphone.
 
TensorFlow Mimi nimeagiza Hisense 55 inch, Zanzibar kwa bei ya 1 m. na usafirishaji imenigharimu kama elfu 60.
 
Chukua TCL smart 55' bei yake nadhani inacheza kwenye 1.3M
 
TensorFlow Mimi nimeagiza Hisense 55 inch, Zanzibar kwa bei ya 1 m. na usafirishaji imenigharimu kama elfu 60.
Hisense nimeiona duka moja Kariakoo inauzwa mil 1.2. Maana yake kwa m 1 inachukulika. Halafu ujue kuwa hizi TV zina series zake ambazo zinatofautiana. Lakini nahitaji sumsung, kuna moja hivi: 55" Class TU850D 4K Crystal UHD HDR Smart TV 2020 TVs - UN55TU850DFXZA | Samsung US, nchi 55, magic remote, zingatia series na specifications zingine. Kuna sehemu jamaa alinigusia 2 M+.
 
Kwanza jua unataka smart tv au Android tv
Smart huwezi ongeza app unazotaka Ila1 imaingia net
Halafu android unaweza ongeza app ukaingia dark web na hata uka trade foreign exchange(forex)
Nenda kariaako zunguka maduka yote thaminisha bei

Nilinunua smart android mwaka jana nchi 43 TCL sijutii kiukweli 750000 tu niliuliza dodoma wakadai 1.2m nikatumia 50000 kwenda na kurudi dar
 
Achukue Hisense, hatojuta!
Sijui sana mambo ya TV, lakini kuna jamaa yangu ana Hisense 55" na mimi nna LG 50". Cha ajabu nikienda kwa jamaa nikiangalia dstv au mfano movie, nikiichukua movie hivyo hiyo nikija nayo kwangu naona tofauti kubwa sana katika ung'avu na ubora wa picha!! Mpaka naanza kutamani na mimi nikamate hii brand aisee.
 
Hisense brand ya mchina sio kwamba naenda kupoteza hela kwa kitu hakieleweki? Specs zake zikoje? ni Crystal/LED/QLED/Neo QLED 8K/4K xxx UHD HDR Smart TV ?
 
Natafuta smart TV nchi 44, kubwa zaidi au karibia na hiyo. Napata wapi hapa mjini Dar hasa maeneo ya Kariakoo?

Je, ni brand ipi bora kwa sasa? Bei yake ikoje?
Nenda posta mpya karibu na mnara wa askari pembeni yake kuna jengo la bank nadhani ni tpb Bank jengo hilo hilo kuna duka la Samsung hapo utakuta vitu vyote original vya Samsung ni duka lao wenyewe Samsung
 
Achana na dar zama zenji kutana na @Abdulwahid
Dat Zenj nadhan siku moja hiyohoyo
“Achana na Dar zama zenji “

WHY THE HELL ???? Una duka huko Zanzibar?

Yaani TV itakosekana kwenye soko la watu milioni 58 ikapatikane kwenye kisiwa cha kuzunguka na baiskeli asubuhi mpaka saa nne?

give me break...
 
“Achana na Dar zama zenji “

WHY THE HELL ???? una duka huko Zanzibar ?

yani TV itakosekana kwenye soko la watu milioni 58 ikapatikane kwenye kisiwa cha kuzunguka na baiskeli asubuhi mpaka saa nne ?

give me break...

Kaaga hivyo hivyo
 
Back
Top Bottom