Wapi hapa Dar napata Smart TV bora kabisa?

Wapi hapa Dar napata Smart TV bora kabisa?

Sijui sana mambo ya TV, lakini kuna jamaa yangu ana Hisense 55" na mimi nna LG 50". Cha ajabu nikienda kwa jamaa nikiangalia dstv au mfano movie, nikiichukua movie hivyo hiyo nikija nayo kwangu naona tofauti kubwa sana katika ung'avu na ubora wa picha!! Mpaka naanza kutamani na mimi nikamate hii brand aisee.
Kimsingi wewe ndio una TV kali, inayochuja mwanga vizuri na kuonewha picha ambayo haitaharibu macho yako. Hizi TV nyingi za wachina zina picha inayong'aa mno ambayo unaweza ukaona kama ndio nzuri sana ila inaumiza macho yako pasipo kujua
 
Kimsingi wewe ndio una TV kali, inayochuja mwanga vizuri na kuonewha picha ambayo haitaharibu macho yako. Hizi TV nyingi za wachina zina picha inayong'aa mno ambayo unaweza ukaona kama ndio nzuri sana ila inaumiza macho yako pasipo kujua
Kweli bhana LG ni TV nzuri, mimi nilichukua moja nchi 49 kariakoo kwa mwarabu kwa 1.4ml. mwaka wa tano sasa inapiga mzigo na display quality. Ukiangalia channel za HD za mpira za Dstv ni kama upo wembley.......kuna jamaa walitaka kunipa TCL smart kwa 1.3ml. nikaipiga chini, ilikuwa na display inayong'aa kiajabu ajabu, sijajuta kuichukua hii LG ingawa siyo smart.
 
Kwanza jua unataka smart tv au Android tv
Smart huwezi ongeza app unazotaka Ila1 imaingia net
Halafu android unaweza ongeza app ukaingia dark web na hata uka trade foreign exchange(forex)
Nenda kariaako zunguka maduka yote thaminisha bei

Nilinunua smart android mwaka jana nchi 43 TCL sijutii kiukweli 750000 tu niliuliza dodoma wakadai 1.2m nikatumia 50000 kwenda na kurudi dar
Hakuna tofauti kati ya smart TV na Android TV. Ni hivi: Kuna stmart TV za brand tofauti zinazotumia OP system za aina mbalimbali na aina mojawapo ni Android. Hivyo inaitwa smart TV ya Android.
 
Kimsingi wewe ndio una TV kali, inayochuja mwanga vizuri na kuonewha picha ambayo haitaharibu macho yako. Hizi TV nyingi za wachina zina picha inayong'aa mno ambayo unaweza ukaona kama ndio nzuri sana ila inaumiza macho yako pasipo kujua
Hata mimi nashangaa jamaa anaona LG haifikii hiyo ya mchina! Au labda brand yake ni zamani sana au ni fake.
 
Hata mimi nashangaa jamaa anaona LG haifikii hiyo ya mchina! Au labda brand yake ni zamani sana au ni fake.
Wachina TV zao zinang'aa mno, ukiwa hujui sana hizi mambo unaweza ona TV yako (ya brand inayoeleweka) kama mbaya hivi.
 
Wakuu hata mm nipo kwenye harakati za kununua TV nahitaji 55" natoa kuanzia 2.5m tv iwe ya kisasa
 
Hata mimi nashangaa jamaa anaona LG haifikii hiyo ya mchina! Au labda brand yake ni zamani sana au ni fake.
LG kuna lile toleo lao la 2016 kama sio 2017 43 inch baadya ya mwaka linatengeneza bluish hivi kama backgroup
Uki google utaona
 
Kweli bhana LG ni TV nzuri, mimi nilichukua moja nchi 49 kariakoo kwa mwarabu kwa 1.4ml. mwaka wa tano sasa inapiga mzigo na display quality. Ukiangalia channel za HD za mpira za Dstv ni kama upo wembley.......kuna jamaa walitaka kunipa TCL smart kwa 1.3ml. nikaipiga chini, ilikuwa na display inayong'aa kiajabu ajabu, sijajuta kuichukua hii LG ingawa siyo smart.
Ninayo LG pia ya aina yako mwaka wa 4 saizi..... sijawahi kuona ujinga ujinga wowote
 
Back
Top Bottom