Wapi Hidaya wa Pepe Kalle?

Kwenye Instagram ya Mange J Kimambi leo amepost kuwa mtoto wa kike wa Hidaya ameuwawa leo huko Uingereza
 
Toyota pajelo!!! Haya bana!
 
RIP Hidaya...last time alipita mtaani kwetu 2007 nikaoneshwa na bro wangu alikuwa bonge la jimama, na nilipenda alivyokuwa anasalimia kila mtu.
All liars must go to hell!
 
Yupo hai bado
 
Yupo hai nineona kwenye acc yake ya instagram

Ndio ambae mwanae kauawa huko ulaya
 
Watu waongo jmn
Wakazusha amefariki kumbe mzima wa afya
 
Hidaya kwa sasa anaishi Dar, wala hana watoto wengine wa kiume, yupo na bint mmoja tu aliemzaa kabla ya kuwa na pepe kale, huyu binti ana mtoto wa kiume, Hidaya ana mjukuu wa kiume.
Na kwa bahati mbaya huyo mwanae Hidaya anaeitwa Leila, juzi amchomwa kisu na mumewe na kufariki dunia, huko nchini Uingereza walipo kuwa wanaishi na mwanaume pia ni Mtanzania.
 
Hidaya naskia yupo Dar kwa sasa, na kwa bahati mbaya umemkumbuka na yeye amepata msiba mkubwa sana kwani mwanae kipenzi anaeitwa Leila, juzi amchomwa kisu na mumewe na kufariki dunia, huko nchini Uingereza walipo kuwa wanaishi. Na huyo mume pia ni Mtanzania. Picha ya Marehemu Leila mtoto wa Idaya Pepe kale, na huyo jamaa ndio mume wake ambae amemchoma kisu.
 
Duh, huko kwa wenzetu huyo jamaa ni straight anaenda kunyea debe.

Angekua bongo walau angejificha kwenye kivuli cha Wasiojulikana.
 
HUYO JAMAA MBWIGA SANA,UNAUA M/KE KWA AJILI YA KWENDA CLUB? YEYE AKIENDA CLUB NA WEWE SI UNATOKA UNAENDA CLUB TU KAMA MBWAI MBWAI,ONA SASA UNAENDA LUPANGO.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…