Fao La Kujitoa
JF-Expert Member
- Sep 17, 2016
- 396
- 966
Nasikia katika usachana/ujana wake alikuwa Moto was kuotea mbali with pure stunning, undisputed and eye catching beauty. Hadi uzeeni bado alitisha kwa uzuri.
Dhahabu zilikuwa zimetanda mwilin mwake. Alipanda hewani, figure ilikuwa ya hatari Na Sura ya kuvutia. Si mwengine Ni Hidaya ambaye Pepe Kale alimuimba katika kibao chake matata akiwashirisha Akina nyboma.
Jamii Forums hapashindiki Jambo. Yeyote mwenye picha za the Cleopatra was Bongo atutupie humu. Nifurahi Sana kuziona.
Dhahabu zilikuwa zimetanda mwilin mwake. Alipanda hewani, figure ilikuwa ya hatari Na Sura ya kuvutia. Si mwengine Ni Hidaya ambaye Pepe Kale alimuimba katika kibao chake matata akiwashirisha Akina nyboma.
Jamii Forums hapashindiki Jambo. Yeyote mwenye picha za the Cleopatra was Bongo atutupie humu. Nifurahi Sana kuziona.