Wapi ilipo ndege ya Malaysia MH 370?

Binafsi natamani chama cha ccm na wanachama wake wote wafutike kama hii ndege....
 
akha! kumbe we ndo salim msangi.?!!
 
hiyo hesabu kama ingekuwa inatumika kuhesabu pesa.sizani kama hata bando ya internet ungekuwa nayo.na mambo hayo
 
cia wanajua kila kitu..kuhusu hiyo ndege....tusubiri baada ya miaka 50 watakapo chapisha top secret operation zao walizozifanya kwa kipindi cha miaka 50 nyuma.....kama ilivyo taratibu zao....nadhani na hiyo itaelezwa kwa kina...
in sha allah tuombe uhai mrefu na afya njema.....
 
it landed in antarctica and is located in a deep underground nazi base
 
Mkuu

Mara nyingi habari huwekwa vyanzo chake, jamii Forum inajitegemea, tuna okota okota tu
 
Daaah
Hadi huku umo!!!

Umemjibu ki intellectual sana. Tukutane central kwa makonda nikutoe lunch nikitoka kuhojiwa
 
Kuna kitu kinaitwa Bermuda Triangle.

Ndege au meli ikijikoroga ikakatisha hapo itajikuta ipo sayari ya jua au kokote kule.
 
Mi naamini dunia ina mwisho wake na huko ikifika basi inaingia ktk sayari(galaxy)nyingine.Pia si ajabu abiria wapo katika sayari nyingine maisha yanaendelea
 
Mi naamini dunia ina mwisho wake na huko ikifika basi inaingia ktk sayari(galaxy)nyingine.Pia si ajabu abiria wapo katika sayari nyingine maisha yanaendelea
Hahaha
Ukute wako sayari.nyingine wana kula bata tu.
[emoji23]
 
Ila sio mbaya maana nisingeijua blog yako kama sio wewe kucomment katika hiyo post ya Hugo jamaa,samehe bure hiyo mutu
Haina shida yeye ku-copy na kupaste kama mwisho au mwanzo wa hiyo kazi ataknowldge mwenye kazi hiyo ni nani na ikibidi kuweka link ya kuwaelekeza wengine watakao taka mada kwa pana zaidi, kama unavyoona amekopi sehemu ndogo, kisha akandika itaendelea, ikiwa na maana kuwa yeye ndiye hasa mwenye usukani, kumbe kaiba kazi ya mtu. Hiyo blogi inaposti zaidi ya 100 zenye maudhui mbalimbali yeye kwa kukiri kuwa si kazi yake au kuweka link ya source itawafanya wengine wafaidike na mada zingine zilizopo kwenye hiyo blog, ila huo anao fanya ni wizi halafu tena ni mchoyo, kwamba chimbo lake likijulikana ujanja wake nao utakuwa kwishni.
 
Mkuu

Mara nyingi habari huwekwa vyanzo chake, jamii Forum inajitegemea, tuna okota okota tu
Ndugu sikatai kazi zangu kukopiwa na kusambazwa kwa wengine, nadhani hiyo ndiyo sababu ya mimi kuanzisha blogi, napingana na wewe pale unapokataa kukubali kazi si yako, pale unapobania hilo chimbo kwa wengine, we ukikopy weka link hapo chini kuwa huu mzigo nimeuvumbulia sehemu fulani, ndivyo tunavyo fanya hivyo, kwenye posti nyingi za hiyo blogi nimeonesha ni wapi nimetolea hizo data, sababu lengo ni kujenga maarifa kwa hoja mwingine yeyote anakuwa na nafasi nzuri ya kupinga au kuunga mkono hoja. Blohi yenyewe inayo posti zaidi ya 100 zenye maudhui tofauti tofauti, wewe umevutiwa na posti hii lakini ukiweka link mwenzako utakutana na nyingine inayomvutia, utanisaidia kufikisha ujumbe kwa wengi, na kunipa moyo wa kuendelea kuposti mada mpya.
Ni hayo tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…