Wapi ilipo ndege ya Malaysia MH 370?

Wapi ilipo ndege ya Malaysia MH 370?

Ni upuuzi kila kitu kulazimishia namba na kuhusisha illuminati na freemaso. watu wameshashtuka kwa sasa. hebu gawanya 777 kwa 11 igawanyike iishe. wabongo mnapenda sana mambo ya kishirikina. na ukikutana na watu kadhaa huko wakakuhusishia na ushirikina basi unakimbilia kuja kuanzisha thread. tumechoka kila siku habari za conspiracy theory hata kwenye vitu ambavyo ni dhahiri kabisa.
Usimjibu mpumbavu sawasawa na upumbavu wake.
 
na uliko copy jamaa anataka ukajieleze. unaona tu kitu unacopy na kuja kupaste huku hata kukielezea hujui. mbumbumbu kabisa . nchi nyingine wanaweza kukufunga.a knowledge kaz ya mtu usi plagiarize. na ndo maana hata kutetea na kupiga hesabu unashindwa. ninyi shulen hamkujifunza ku reason?



Usimjibu mpumbavu sawasawa na upumbavu wake.
 
Swali #5..... Kama unajua Transponder ni nini,basi utakua umejibu swali lako!
 
Mtoa post usiwe mjinga

Wabongo tumezidi kuamini uchawi na mambo ya freemason ndio maana hatuendelei

Hiyo ndege ni kuwa inawezekana ilivyopoteza mawasisiano iliendelea kuwa hewani hadi pale marubani walipoona mafuta yameisha wakaamua kutua kama ile ndege ya american airline

ilivyotua kwenye maji na watu wote wakapona

So Inawezekana marubani akili yao ilikuwa ni kutua ikiwezekana ielee kwenye maji hadi hapo msaada utakapopatikana

Hivyo inawezekana walifanikiwa kutua juu ya maji bila ndege kulipuka au kugawanyika hivyo ikaanza kuzama mdogo mgogo hadi chini ya bahari


Alafu usijidanganye kuwa kila mawasiliano yanategemea minara, Hapana, kuna baadhi ya makampuni yanatumia satellite kama signal yao kuu ya mawasiliano hivyo kama ndege ilikuwa ishazama na bado maji yalikuwa hajaingia ndani si kitu cha kushangaza kama sim bado zilikuwa zinaita

Kama curiosity iliyopo sayari ya marz ipo umbali wa mabilioni ya km kutoka duniani na bado inadetect mawasiliano pamoja na satelite iliyopo duniani basi sio kitu cha kushangaza sim iliyo chini ya bahari kudetect mawasiliano


Na ukitaka kujua hii ndege kweli ipo chini ya bahari ni yale baadhi ya masalia ya mbawa zake yaliopatikana kandokando ya bahari mwaka uliopita. Kampuni ya Boeing ilithibitisha kuwa yale mabaki ambayo ni vipande vidogo vilivyochomoka kwenye mbawa ni mabaki ya MH 370

Hakuna kitu kama hicho....WALIKANUSHA
 
dcd6496ce0afa95531d5adce4bf4692a.jpg
d4e4891a2ca2741774333bc10175f91f.jpg


Na jamaa wamenyoosha mikono rasmi kwamba hawatoitafuta tena
 
Sikuiz tukiambiwa kitu tunaprove kama kuna uhusiano xo aliposema namba 777 inagawanyika kwa 11 alitegeamea wadau watapita juu kwaju xo kwa baat mbaya kama kayumb iv mtoa mada!!! Ahahaa usirudie tenaaaaaaaa
 
Mtoa post usiwe mjinga

Wabongo tumezidi kuamini uchawi na mambo ya freemason ndio maana hatuendelei

Hiyo ndege ni kuwa inawezekana ilivyopoteza mawasisiano iliendelea kuwa hewani hadi pale marubani walipoona mafuta yameisha wakaamua kutua kama ile ndege ya american airline

ilivyotua kwenye maji na watu wote wakapona

So Inawezekana marubani akili yao ilikuwa ni kutua ikiwezekana ielee kwenye maji hadi hapo msaada utakapopatikana

Hivyo inawezekana walifanikiwa kutua juu ya maji bila ndege kulipuka au kugawanyika hivyo ikaanza kuzama mdogo mgogo hadi chini ya bahari


Alafu usijidanganye kuwa kila mawasiliano yanategemea minara, Hapana, kuna baadhi ya makampuni yanatumia satellite kama signal yao kuu ya mawasiliano hivyo kama ndege ilikuwa ishazama na bado maji yalikuwa hajaingia ndani si kitu cha kushangaza kama sim bado zilikuwa zinaita

Kama curiosity iliyopo sayari ya marz ipo umbali wa mabilioni ya km kutoka duniani na bado inadetect mawasiliano pamoja na satelite iliyopo duniani basi sio kitu cha kushangaza sim iliyo chini ya bahari kudetect mawasiliano


Na ukitaka kujua hii ndege kweli ipo chini ya bahari ni yale baadhi ya masalia ya mbawa zake yaliopatikana kandokando ya bahari mwaka uliopita. Kampuni ya Boeing ilithibitisha kuwa yale mabaki ambayo ni vipande vidogo vilivyochomoka kwenye mbawa ni mabaki ya MH 370

Umejibu vzr lakini kuhusu black box hujajibu
 
Ndugu sikatai kazi zangu kukopiwa na kusambazwa kwa wengine, nadhani hiyo ndiyo sababu ya mimi kuanzisha blogi, napingana na wewe pale unapokataa kukubali kazi si yako, pale unapobania hilo chimbo kwa wengine, we ukikopy weka link hapo chini kuwa huu mzigo nimeuvumbulia sehemu fulani, ndivyo tunavyo fanya hivyo, kwenye posti nyingi za hiyo blogi nimeonesha ni wapi nimetolea hizo data, sababu lengo ni kujenga maarifa kwa hoja mwingine yeyote anakuwa na nafasi nzuri ya kupinga au kuunga mkono hoja. Blohi yenyewe inayo posti zaidi ya 100 zenye maudhui tofauti tofauti, wewe umevutiwa na posti hii lakini ukiweka link mwenzako utakutana na nyingine inayomvutia, utanisaidia kufikisha ujumbe kwa wengi, na kunipa moyo wa kuendelea kuposti mada mpya.
Ni hayo tu.
ila wewe jamaa nilikuwa naipenda blog yako unaelezea vizuri mambo ya freemason na illuminat, baada ya kuniingiza chaka kuhusu Hillary Clinton nikaacha kabisa kusoma habari kwenye blog yako. Nilihisi huna uhakika na unachoandika
 
ila wewe jamaa nilikuwa naipenda blog yako unaelezea vizuri mambo ya freemason na illuminat, baada ya kuniingiza chaka kuhusu Hillary Clinton nikaacha kabisa kusoma habari kwenye blog yako. Nilihisi huna uhakika na unachoandika
Unakarabishwa mdau nadhani kwenye post ya queen replaced wasiwasi WaPo huo nimeutoa kabisa, rudi kapitie hizo two post. Lakini ni nani malaika asiyekosea?[emoji1]
 
Kuna series moja inaitwa lost itafute, jamaa wamelieleza tukio hili miaka mingi, itz was planed,

Na ukiona ile move na ndege ilivyo potea ni vilevile isipokuwa tu ile ni move na hii ni uhalisia, na wahusika ni tofauti, mi

Ninachoweza kusema hii ni series ya LOST inaendelea....

Wala sikushangaa kupotea ila nlijua tu kuwa kumbe series inaendelea... Itafute utaelewa nnachozungumza...
 
Back
Top Bottom