Yale maelfu aliyosema yatahamia ACT wazalendo toka CCM vipi mbona hatujayaona?Kitakuja
Membe atachaguliwa kwa kishindo Sept 28.Hivi karibuni tuliambiwa kuwa kutakuwa na Kimbunga cha Bernard Membe. Kiko wapi? Je aliwalaghai wananchi mbona hata hajatoa taarifa za Kukacha Kampeni?
Je, ulaghai kama huu wananchi watauvumilia kweli na Kumpa kura tarehe 28?
Membe ni mwana CCM na mwana siasa wa hovyo kutokea everHivi karibuni tuliambiwa kuwa kutakuwa na Kimbunga cha Bernard Membe. Kiko wapi? Je aliwalaghai wananchi mbona hata hajatoa taarifa za Kukacha Kampeni?
Je, ulaghai kama huu wananchi watauvumilia kweli na Kumpa kura tarehe 28?
Yaani kijani na zambarau wote wanashabikia CDM?.View attachment 1583442Hii picha ya masoud inafikirisha
Kimbunga cha Membe na kile cha Magu vote vimemezwa na BOONGE LA KIMBUNGA cha T.A. LISSUHivi karibuni tuliambiwa kuwa kutakuwa na Kimbunga cha Bernard Membe. Kiko wapi? Je aliwalaghai wananchi mbona hata hajatoa taarifa za Kukacha Kampeni?
Je, ulaghai kama huu wananchi watauvumilia kweli na Kumpa kura tarehe 28?
This is gudi gudi......Ilikuwa ni mbinu ya kuwapiga chenga ccm na tume thus wakachukua wote fomu ili ccm waamini kwamba upinzani awatoungana lkn wamepigwa chenga la tobo ACT visiwani CDM bara
Membe asingechukua fomu CCM wangefanya zengwe na Mahere wao kada mtiifu kumfuta Lissu , upinzani ungekuwa umeishia hapo. Membe kafanya kazi kubwa, uwepo wake umefanikisha kiasi kikubwa tume kumpitisha wakiamini wakiwa wote Membe na Lissu ' Kura zitagawanyika'.Ilikuwa ni mbinu ya kuwapiga chenga ccm na tume thus wakachukua wote fomu ili ccm waamini kwamba upinzani awatoungana lkn wamepigwa chenga la tobo ACT visiwani CDM bara
Membe asingechukua fomu CCM wangefanya zengwe na Mahere wao kada mtiifu kumfuta Lissu , upinzani ungekuwa umeishia hapo. Membe kafanya kazi kubwa, uwepo wake umefanikisha kiasi kikubwa tume kumpitisha wakiamini wakiwa wote Membe na Lissu ' Kura zitagawanyika'.
Sababu walishapanga mshindi wao Sasa hiki kimbunga Cha nyomi kimewavuruga kabisa watz watahojiThis is gudi gudi......
Kinachonishangaza na kunisikitisha ni kwa nn tume inachukia vyama vikiungana/kushirikiana....... Yaani wanachukia kuliko hata mashetani ccm
Hivi karibuni tuliambiwa kuwa kutakuwa na Kimbunga cha Bernard Membe. Kiko wapi? Je aliwalaghai wananchi mbona hata hajatoa taarifa za Kukacha Kampeni?
Je, ulaghai kama huu wananchi watauvumilia kweli na Kumpa kura tarehe 28?
Kumbe inawezekana eti eeh?Yaani kijani na zambarau wote wanashabikia CDM?.