Uchaguzi 2020 Wapi kimbunga cha Bernard Membe jamani?

Uchaguzi 2020 Wapi kimbunga cha Bernard Membe jamani?

mzee wa TUVUSHEE,KAZI NA BATA,JASUSI MZOEFU[emoji1787][emoji1787][emoji1787].

ila jf ina vituko sana,2021 tutakuwa hapa tena tunamsifu kiumbe mwingine kabisaa.
 
Membe jamanii[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Jamaa alidhani chadema na mwakaa huu wataingia cha kikeee
 
Habarini wana jamvi takribani muda umepita bila kusikia habari za mgombea urais kupitia tiketi ya Act wazalendo kachero mbobezi Bernard kamillius Membe je huyu mtu yuko wapi na anafanya nini kwa Sasa?
Yupo. Jana tu nimebahatika kusikia nasaha zake kwenye Tv. Unajua nini? Membe yeye ana kitu kimoja tu rohoni, ni mgombea urais wa JMT tu basi, hana kingine cha ziada ya hicho, na ndiyo maana anaonekana wakati mwingine kama hayupo. Membe yupo and is there stay
 
Wiki hii nategemea kumuoana Membe akitamba! Wenzake watakuwa hawasikiki.
 
Membe asingechukua fomu CCM wangefanya zengwe na Mahere wao kada mtiifu kumfuta Lissu , upinzani ungekuwa umeishia hapo. Membe kafanya kazi kubwa, uwepo wake umefanikisha kiasi kikubwa tume kumpitisha wakiamini wakiwa wote Membe na Lissu ' Kura zitagawanyika'.
[emoji111][emoji109]
 
Membe jamanii[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Jamaa alidhani chadema na mwakaa huu wataingia cha kikeee
Kwani Chadema waliwahi kukili kuwa waliingia cha kike au huo ni mtazamo wako?
 
Hivi karibuni tuliambiwa kuwa kutakuwa na Kimbunga cha Bernard Membe. Kiko wapi? Je aliwalaghai wananchi mbona hata hajatoa taarifa za Kukacha Kampeni?

Je, ulaghai kama huu wananchi watauvumilia kweli na Kumpa kura tarehe 28?
Bernard Membe anazidiwa kampeni hata na mgombea Udiwani
 
Hivi ndo kusema huyu ‘jasusi mbobezi’ keshaacha kugombea urais?

Kuna taarifa rasmi labda iliyotolewa kuhusu yeye kutokuwa mgombea tena ambayo labda mimi sikuiona?

Manake yuko kimya sana.

Alitangaza mwenyewe kuhusu kimbunga cha ACT na kwamba hakizuiliki.

Au hicho kimbunga kimeishia kumsomba yeye mwenyewe?

Huyu mtu bado anagombea au hagombei?

Halafu yuko wapi?

 
Back
Top Bottom