Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Membe anamuunga mkono Tundu Lissu. Ndiyo maana hataki kuzunguuka nchi ili kugawa kura.
Membe ni hero, hataki kuumiza upinzani!
Membe ni hero, hataki kuumiza upinzani!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo bado ni mgombea au si mgombea tena?Membe anamuunga mkono Tundu Lissu
Ndiyo maana hataki kuzunguuka nchi ili kugawa kura
Membe ni hero, hataki kuumiza upinzani!
Kuna wanasiasa hapa nchini ni wajinga!Membe anamuunga mkono Tundu Lissu. Ndiyo maana hataki kuzunguuka nchi ili kugawa kura.
Membe ni hero, hataki kuumiza upinzani!
Hivi ndo kusema huyu ‘jasusi mbobezi’ keshaacha kugombea urais?
Kuna taarifa rasmi labda iliyotolewa kuhusu yeye kutokuwa mgombea tena ambayo labda mimi sikuiona?.....
Seriously, Bernard Membe yuko wapi?
Bado anagombea?
Hayoapenzi yako yaliyopitiliza yatakufanya ukosee siku ya kupiga kula, huu uzi ni wa Membe,nakukumbusha tuHata huyo mgombea Wa Vibendera wa Tanzania Chadema Ni Kumjaza tu upepo. Kwa Magufuli hatapata hata 20% Utaona tu.
Kwa hiyo bado ni mgombea au si mgombea tena?
Kuna taarifa rasmi?
Membe sio mgombea tena by conduct....Kwa hiyo bado ni mgombea au si mgombea tena?
Kuna taarifa rasmi?
Hahahaaa I know...C'mon Ngabu!!
..What you are doing here is equal to punching an opponent whose corner has thrown in a towel.
..C'MON MAN!!
Jamaa ni mjanja snMembe anamuunga mkono Tundu Lissu. Ndiyo maana hataki kuzunguuka nchi ili kugawa kura.
Membe ni hero, hataki kuumiza upinzani!
ACT sio wapinzani?!Yuko kwenye rekodi za NEC lakini ni dhahiri yeye anaunga mkono upinzani
Ahahahaaa alijazwa sifa na Chadema akajua atatoboa,kumbe kimbunga kimembeba mwenyewe.Hivi ndo kusema huyu ‘jasusi mbobezi’ keshaacha kugombea urais?
Kuna taarifa rasmi labda iliyotolewa kuhusu yeye kutokuwa mgombea tena ambayo labda mimi sikuiona?....
Alijazwa upepo na watu wa Twitter na JF 🤣Ahahahaaa alijazwa sifa na Chadema akajua atatoboa,kumbe kimbunga kimembeba mwenyewe.
Hivi ndo kusema huyu ‘jasusi mbobezi’ keshaacha kugombea urais?
Kuna taarifa rasmi labda iliyotolewa kuhusu yeye kutokuwa mgombea tena ambayo labda mimi sikuiona?
Manake yuko kimya sana.
Alitangaza mwenyewe kuhusu kimbunga cha ACT na kwamba hakizuiliki.
Au hicho kimbunga kimeishia kumsomba yeye mwenyewe?
Huyu mtu bado anagombea au hagombei?
Halafu yuko wapi?