SaaMbovu
JF-Expert Member
- Oct 8, 2013
- 6,027
- 5,344
Habari
Nimekuwa nikifuatilia sana Churchill Show ya Kenya ambayo kiukweli huwa napunguza sana stress hasa akisimama Professor Hamo.
Sasa nipo Dar hapa najiuliza ni wapi kumbi za Comedy ambazo ni Stand up comedy ili nikashuhudie nipunguze stress. Kama zipo show huwa siku gani katika wiki. Asanteni.
Nimekuwa nikifuatilia sana Churchill Show ya Kenya ambayo kiukweli huwa napunguza sana stress hasa akisimama Professor Hamo.
Sasa nipo Dar hapa najiuliza ni wapi kumbi za Comedy ambazo ni Stand up comedy ili nikashuhudie nipunguze stress. Kama zipo show huwa siku gani katika wiki. Asanteni.