GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
- Thread starter
-
- #101
Biharamulo kuna la ekari 1000 linalouzwa milioni 300. Sijaliona, ila nimeambiwa ni shamba pori lenye hatimiliki, lilikuwa linamilikiwa na kikundi fulani lakini wameamua kuliuza baada ya kushindwa kuliendeleza.Unachosema ni kweli kabisa. watu huwa wanapandisha sana bei. kuna jamaa yangu aliambiwa apeleke milioni 80 apewe heka 1000
hapo unazungumzia laki 3 kwa hekaBiha
Biharamulo kuna la ekari 1000 linalouzwa milioni 300. Sijaliona, ila nimeambiwa ni shamba pori lenye hatimiliki, lilikuwa linamilikiwa na kikundi fulani lakini wameamua kuliuza baada ya kushindwa kuliendeleza.
Naam! Lakini hiyo bei ni kubwa sana kwa "pori".hapo unazungumzia laki 3 kwa heka
Bei ya pori ni elfu 50 zaidi ya hapo ni kupigwa tuNaam! Lakini hiyo bei ni kubwa sana kwa "pori".
Laki moja ingekuwa sawa kwa vile tayari lina hati miliki.Bei ya pori ni elfu 50 zaidi ya hapo ni kupigwa tu
Tafadhali sana naomba unitumie namba yako ya wasafi haraka ,mimi nataka kuanza kulima msimu huu huu haraka kabla watu hawajaanza kupanda nataka nianze na mahindi na maharage pamoja.,vile vile nijaribu mihogo. bila kusahau viazi ulaya.Labda niwape background ya haya mashamba, kule nyuma kidogo tulinunua na kuanzisha misitu ya miti ya mbao, moto ukatulamba, wengi wamekata tamaa na kuamua kuyauza. Kuna eka 50 karibu mashamba 8 hivi, eka 100 kuna mapande 2, kuna eka 600 za pamoja, 40, Chini ya eka 50 kule ni ngumu kupata. Kwa hiyo ukisema nataka eka 50 nakuunganisha na mwenyewe sasa hivi. Zipo 159 hazina barabara.
Zenye hati za kimila tayari bei ni 250,000/, zipo 212, 50, 284, 150, 100,
Picha bila maelezo.
Shamba lipo wapi?
Maelezo nilishatoa ni mashamba ya mzee wangu ilikuwa ni kuonyesha hali ya udongo na afya ya mimea ni mashamba yako NjombeMkuu
Picha bila maelezo.
Sawa mkuuMaelezo nilishatoa ni mashamba ya mzee wangu ilikuwa ni kuonyesha hali ya udongo na afya ya mimea ni mashamba yako Njombe