Yanabandikwa kwenye office za maafisa elimu secondary ktk halimashauri za wilaya
Yanabandikwa kwenye office za maafisa elimu secondary ktk halimashauri za wilaya
Yanabandikwa kwenye office za maafisa elimu secondary ktk halimashauri za wilaya
Mwenye majina ya mkoa wa Dar jaman atusaidie kuyaweka hapa
Na kwa nini TAMISEMI ndo itangaze na siyo Wizara ya Elimu?
Asante kwa taarifa. Je, majina yanayobandikwa huko ni ya wanafunzi wote hata waliochaguliwa kwenda nje ya Wilaya/Mkoa huo, au ni wale tu waliochaguliwa kujiunga na Secondary ndani ya Halmashauri husika?