Wapi Misanya Bingi & Dena Amsi?

Pasco mwenye haki ya post zote za jf ni nani ? Kama mtu ameamua kuweka post mara moja moj akule na nyingine huko kuna tatizo gani si zake , ina maana wewe unajua members wote kwenye forum hii na kujua nani ni nani ? Mpaka kuingilia mambo ya watu ?
 

Elimu yetu wa-TZ hiyo!!! Unatamba kwa kuingia lecture hall kwa machale! Pole sana, ndo maana hata tukipambanishwa na wakenya tunatoka kapa tunabaki kulalama tu ooh kampuni hii inaupendeleo sijui kitu gani!! Ni maarifa gani uliyo nayo ya kupambanua mambo kama siyo unalingishia cheti cha daraja la juu wakati maarifa hola?

Kwa kweli utabaki na hicho cheti lakini mara nyingi kazini utakuwa unachemsha maana huna maarifa na ujuzi unaohitajika kazini wewe ulibaki kukazania kufaulu mitihani na siyo kupata maarifa! Pole sana na endelea kutamba na hiyo shahada yako!!
 
Mpeni sifa zake jamani pale anapostahili mie nimewahi kumchukua kuwa facilitator/mwezeshaji kwenye semina yangu alifanya vizuri sana.
 

Pasco:

Hapo bold umenena! Kila siku huwa najuliza kwa nini Shy anapenda sana "copy and paste" bila ku-acknowledge author(s)?

Nakumbuka kwenye 2005 ukisoma kwenye EthinkTank mojawapo ya email za Shy utabaki mdomo wazi! Lakini leo "he is the master of all trades" Shame!
 
Mpeni sifa zake jamani pale anapostahili mie nimewahi kumchukua kuwa facilitator/mwezeshaji kwenye semina yangu alifanya vizuri sana.

Hongera sana Misanya Bingi! Siku hizi mbona sikuoni mitaa ya "Kwa Mae"? Au Phd inabana sana?
 
Ni Lecturer sasa, Yupo School of Arts and Social Science, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam

UDSM hakuna school of Arts & Social Science ni College of Arts and Social Science mkuu
 
Misanya Hongera sana kwa kutoka chini kwenda juu. Usijali na maneno ya watu.
 
Yuko UD. Radio one walimbania akaamua kwenda shule. Hakwenda kwa kupenda. So wakati mwingine mtu akikubania kwenye sehemu moja sometimes anakuwa anakupa fursa nyingine na Bam! ukiitumia unatoka. Big up Bingizz.
 

hapo kwenye red kama wameanzisha utaratibu huo pale UDSM basi itasaidia kuifanya UDSM kuwa Equal Opportunity Employer!!!!!, maneke zamani bila kumjua MUKANDALA basi hata ujifue vipi ama upasue vipi hupati teaching positions. Kwa mademu ilikuwa hadi jamaa ale mzigo ndio utapewa chance ya kuwa Tutorial Assistant. Kuna wadada tulipokuwa freshers walikuwa walokole lakini huyo profesa hapo juu akawatia majaribuni....wengine hadi leo hii wamekuwa wakifundisha pale Pol. Science:coffee:
 
Job K
kusema kweli sitambii cheti, ningetaka kutambia ningeshasema nimesoma nini, wala sitambii gredi wala GPA, ningeshasema nimepata nini.

Mlimani nilikwenda kusoma kwa raha zangu, sio ili nipate ajira, nilichosomea nimekisoma just for the love of it na sio kusakia ajira, ninachofanya hakihusiani kabisa na nilichosoma, sikuwahi kuomba kazi popote kwa hicho cheti cha UD na kubwa kuliko hata cheti chenyewe sinacho!. Nilisoma na nilihitimu ila sikuwahi kukifuata au kukichukia hicho cheti unachodhani ninatambia, ila kwa vile ni changu sikumoja nitakifuata japo nikiweke tuu kabatini kwa maana kwenye mambo yangu, bado sija kihitaji na sijakitumia na heunda nisikitumie kabisa maana shughuli ninazofanya hazihitaji cheti chochote, ujuzi wowote, wala maarifa yoyote!.

Back to the Topic, Misanya Bingi is good kwa anachokifanya, kutoka mtangazaji mpaka mhadhiri wa Ph.D is a great leap na anastahili pongezi zetu.

Kuna baadhi yetu huwa ni hatters, kila kwenye mafanikio ya wenzetu, tunaweka hates zetu ili tu minimize mafanikio hayo, hizi pia ni siasa za 'maji taka'!.
 
Jamani naomba kuuliza, kuna yule jamaa aliyekua ni mtangazaji wa Redio 1 kipindi cha nyuma kwa jina Misanya Bingi hivi kaendaga wapi? kuna mtu anataarifa zake nikazipata? Asanteni.

Sio misanya bingi pekee!!, na yule dj rankim ramdhan na yule mtangazaji taji liundi, a.k.a master t, nao wako wapi? Nakumbuka kama walikuwa wote na misanya
 
Alikuwa anawika sana miaka michache ya nyuma akiwa RadioOne Sterio lakini siku hizi simsikii kabisa hata kwenye vituo vya radio zingine, amefuria kabisa?
 
Ni mwanazuoni. Baada ya kuhitimu BA akabakizwa chuoni hapo UDSM sehemu ya mlimani kufundisha sosholojia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…