[emoji23] [emoji23] [emoji23] kama mwenyewe unajicheka basi ilikuwa ni ugaliMimi kuna siku niliangalia kipindi cha cake boss akawa anaelekeza kupika simple cake nyumbani nikajaribu...sina uhakika kama nilipika keki au ugali maana ni kichekesho
Kama mwenyewe nilishindwa kuila sijui hata nilikosea wapi...tokea siku hiyo sitaki tena kupoteza muda tena kuhangahika na mapishi ya keki...maana nilinunua mpk flavour[emoji23] [emoji23] [emoji23] kama mwenyewe unajicheka basi ilikuwa ni ugali
Ulitakiwa urudie mara ya pili na ugegundua wapi umekosea. Umekata tamaa mapemaKama mwenyewe nilishindwa kuila sijui hata nilikosea wapi...tokea siku hiyo sitaki tena kupoteza muda tena kuhangahika na mapishi ya keki...maana nilinunua mpk flavour
Itabidi w/end hii nijaribu tena...tatizo ukiangalia youtube unaona rahisi anza kufanya ww ndio unaona kweli kazi kubwa na siku nikiweza nadhani nitapika keki kubwa nile wiki nzima.Ulitakiwa urudie mara ya pili na ugegundua wapi umekosea. Umekata tamaa mapema
Ha haaa mwizi wa cake kwenye harusiItabidi w/end hii nijaribu tena...tatizo ukiangalia youtube unaona rahisi anza kufanya ww ndio unaona kweli kazi kubwa na siku nikiweza nadhani nitapika keki kubwa nile wiki nzima.
Mimi nikienda kwny sherehe huwa lazima nibebe keki tu na watu wameshanijua wakiona keki ya wazazi haipo wanaelewa nani kapotea nayo
Wanasema ukipika keki uvae nguo lainiHa haaa mwizi wa cake kwenye harusi
Kumbe! Ikawaje hukuvaa?Wanasema ukipika keki uvae nguo laini
Sikujua nxt time nitajaribu nikiwa sijavaa kbsKumbe! Ikawaje hukuvaa?
Uniite tupike woteSikujua nxt time nitajaribu nikiwa sijavaa kbs
Naww uvae nn?Uniite tupike wote
Itakuwa sare sare mauaNaww uvae nn?
Au mchanganyiko unakuwa mwepesi sana.Unaweka mchanganyiko mzito sana ndio maana ndani haiivi....
Au moto unakua mdogo sana....
Angalia sababu hizo hapo mbili.
Oven ya gas sijui kwanini ni shida, ya umeme ni the bestItakuwa ni moto, oven ya gas inazingua sana nikipikia ya umeme inatoka vzr
Cake rahisi sana aisee, mie nilijifunza kwa kusoma maelekezo tu then nikajaribu na kuweza.Hakuna kitu rahisi km kubake cake jamani...tungekuwa karibu ningewaita mje nyumban kwangu tupike! Nahisi tuko mikoa tofautiii
Hebu naomba nione chura yako kwnz maana tusije kuunguza nyumbaItakuwa sare sare maua
Najuta sana kuwa nayo inanizingua mno yaaniOven ya gas sijui kwanini ni shida, ya umeme ni the best
Njoo uoneHebu naomba nione chura yako kwnz maana tusije kuunguza nyumba
Nimeshakuja lkn unafichaaNjoo uone
Hakikishs hukosei kipimo hata kidogoJameni,siku hizi nimekua nachukua video za you tube najipikilisha keki kwa ajili ya watoto na ili
dada wangu wa nyumbani nae ajifunze kupika keki.(inaeza kuja kimsaidia mbeleni).ila wote wanafunzi.mimi na yeye kupitia video hizo.
mimi sio mzoefu sana nimepika mara moja moja na siku za mwanzo kwa kweli ilikua inatoka vizuri kiasi ila inakua na vikasoro kidogo tu..
mfano mafuta kama yanakua yanazidi(sijajua hapo ni blueband au vip),inachambuka kiasi sio saaana,,na sijui shida nini lakini inakua ndani sio nyeupe,,inakua kama na brown kwa mbali..
Sasa siku mbili hizi napika keki naona haivi katikati,,nishajitahidi kurudia tena kama mara mbili sijajua shida nini au nakosea wapi..
wenye ideas tofauti tofauti ebu mniambie nakosea wapi,nishawaza ni oven au uzito wa keki au nini.