Ngabu anaweza kulia ๐๐๐Sasa Ngabu ndo akutane na mzee wa bucci akiwa na Zaba yake ulomletea๐๐
Hashindwi kusema Ngabu katupia vitu feki Zaba yake ndo OG๐๐๐๐
Alhamdulillah kapo poa๐๐Me too darling ๐ป๐ป๐ป
Niko pouwa, kababy kako pouwa??
Nimeota na mimi nna ka kwangu aww ๐ฅฐ๐ฅฐ
Ngoja nimtafute mwanaume wa kunipa kababy ka kufanana na mimi ๐ฅฐ๐ฅฐAlhamdulillah kapo poa๐๐
Na wewe ukiwa tayari utapata mzuri kama wewe, Insha'Allah ๐
Nyie watu mmenichekesha sana aisee! Mpaka visura wangu hapa wanashangaa baba anachekea nini.Ngabu anaweza kulia ๐๐๐
Mana mzee wa bucci ndo atakuwa ametoka mamtoni halafu ngabu ataonekane wa tandale ๐คฃ
Hukosi bhana, yaani wewe uwe single?. Huyo huyo uliye naye mtatoa katoto kazuri๐ฅ๐ฅNgoja nimtafute mwanaume wa kunipa kababy ka kufanana na mimi ๐ฅฐ๐ฅฐ
Yupi? Kweli niko single mahi huamini? ๐๐๐Hukosi bhana, yaani wewe uwe single?. Huyo huyo uliye naye mtatoa katoto kazuri๐ฅ๐ฅ
Bucci baby ๐๐๐Nyie watu mmenichekesha sana aisee! Mpaka visura wangu hapa wanashangaa baba anachekea nini.
Hapa nilipo nimejaribu kuitamka kwa sauti hiyo โbucciโ nimeishia kucheka kama mwehu tu.
Hadi nimetamani kuwa na t-shirt ya bucci. Kama unazo nitunzie mojaโฆ.nataka kuinunua.
Bucci baby ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ.
๐คฃ๐คฃ๐คฃ noumaDogo ushawahi kuona hii @lamomy๐View attachment 3072806View attachment 3072808
๐คฃ๐คฃ!Dogo ushawahi kuona hii @lamomy๐View attachment 3072806View attachment 3072808