Wapi napata genuine CLINIQUE PRODUCTS kwa Dar?

Sasa Ngabu ndo akutane na mzee wa bucci akiwa na Zaba yake ulomletea๐Ÿ˜๐Ÿ˜
Hashindwi kusema Ngabu katupia vitu feki Zaba yake ndo OG๐Ÿƒ๐Ÿƒ๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„
Ngabu anaweza kulia ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Mana mzee wa bucci ndo atakuwa ametoka mamtoni halafu ngabu ataonekane wa tandale ๐Ÿคฃ
 
Me too darling ๐Ÿ˜ป๐Ÿ˜ป๐Ÿ˜ป
Niko pouwa, kababy kako pouwa??
Nimeota na mimi nna ka kwangu aww ๐Ÿฅฐ๐Ÿฅฐ
Alhamdulillah kapo poa๐Ÿ’‹๐Ÿ’‹
Na wewe ukiwa tayari utapata mzuri kama wewe, Insha'Allah ๐Ÿ™
 
Ngabu anaweza kulia ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Mana mzee wa bucci ndo atakuwa ametoka mamtoni halafu ngabu ataonekane wa tandale ๐Ÿคฃ
Nyie watu mmenichekesha sana aisee! Mpaka visura wangu hapa wanashangaa baba anachekea nini.

Hapa nilipo nimejaribu kuitamka kwa sauti hiyo โ€œbucciโ€ nimeishia kucheka kama mwehu tu.

Hadi nimetamani kuwa na t-shirt ya bucci. Kama unazo nitunzie mojaโ€ฆ.nataka kuinunua.

Bucci baby ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ.
 
Bucci baby ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
T-shirt zipo tajiri ushindwe wewe tu.!

Awww ๐Ÿฅฐ๐Ÿฅฐ wape hi hao visura
Nitawatafutia โ€œbucciโ€ za size yao auntieโ€™s zangu waambie ๐Ÿคฃ
 
Dogo ushawahi kuona hii @lamomy๐Ÿ˜€
 
๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ nouma
Sasa kuna slipper zake zinaitwa Abibas utacheka ufwe ngoja nikuletee
Ila wanapiga sana hela kwa kutembelea nyota ya hizi brand.
๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€poa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ