Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu unataka kuweka mbolea ya sumu kwenye maji au kutengeneza bomu? Kitengo cha kupambana na ugaidi lazima washtuliwe. Ila unakaa kigalatigalatia labda unahitaji iyo ammonia kwa matumizi mazuri tu yenye tija. Ila ungekuwa wa upande huleHeshima kwenu wakuu.
Napenda kuuliza, kwa hapa mwanza ni katika maeneo gani na katika maduka ya aina gani (category) naweza kupata ammonia ya maji? Na je bei yake ni kiasi gani?
Asanteni sana