Wapi naweza kupata Bank statement?

Wapi naweza kupata Bank statement?

Duuuh
Vipi umelamba Scholarship nini? Au unataka kwenda kusalimia kidogo majuuu kabla hujalizwa na watabe kuhusu statements cha kwanza eleza vizuri aina ya visa unayotaka kuchukua ili tukushauri Jinsi gani ucheze na statements na form ya uliyopewa kujaza....KwanA unaena kwa ajili ya Tourisism au kufanya kazi au Kibiashra?
 
mimi pia nimewahi kununua kwa mtu mwenye bank statment, ajili ya mwanangu kupata viza aliniuzia laki
 
Bank statement huwa hainunuliwi. Unatakiwa uende branch za bank husika unawaomba wakupe bank statement then kuna kiasi unakatwa
 
Huh Uzi umenifanya nicheke sana, Yaani bank statement inauzwa ???
Yeah zinauzwa kwa ajili ya Viza lakini si unajua visa lazma uonyeshe kiwango ambcho kitaonyesha kama unawwz kumudu Kuishi unakoenda kwahyo aidha wewe au Sponsor lazma muwe na uwezo kiuchumi ndo hapo mchongo wa statemnts unapokujaaa....

Achana na ile statements ya kukatwa 2000 ukienda benki kuchukua hahahah😅😅
Hiyo sidhani kama angeulizia maana hata kwenye apps za benki hupatikana
 
Bank statement haiuzwi kama pipi... nenda bank husika wakakupe ' ila watakata pesa kwenye acc yako.
hiv huwa bei gan kuoata statement ya mwezi 2. wanakata bei gan?
 
Nahitaji mnielekeze kwa ambao wanauelewa au wanajua haya mambo ni wapi naweza pata bank statement kwa kuinunua?

Dunia ngumu hii, Hii topic ya education is better than Kujiajiri inabidi ifanywe mitaani sasa!
 
Hivi forgery ina dhamana ukikamatwa!!??
Fogery ina dhamana ila ukipatikana na hatia hukumu yake ni kifungo jela si chini ya miaka 6 na haina option ya faini.
Kuna yale makosa ambayo kifungo chake kina option ya fine unaweza kuongea na hakimu mkayapanga ukakubali kosa akakupiga ulipe fine ila kwenye kosa hili fine hakuna ni jela tu
 
Hizi bank statement kuna wahuni flani walikuwa wanazichonga kwenye ka stationary flani pale posta .
Wewe unawaeleza tu unataka iwe na balance kiasi gani na ya benki gani .
Mihuri ya benki zote walikuwa nayo.
Ila walikuja kudakwa baada ya kufoji kadi ya gari ya mtu wakaiuza .
Watu wengi walikuwa wanakwenda kutengeneza bankstatement hapo kwa ajili ya kuombea visa ubalozini na walikuwa wanatoboa.
Kwa sasa sifahamu .
Ila navojua mimi ubalozi hawana kawaida ya kufanya due diligence ya hizo bankstatements
 
Back
Top Bottom