Wapi naweza kupata fund au sponsorship ya ku-print kitabu changu?

Wapi naweza kupata fund au sponsorship ya ku-print kitabu changu?

Yes nazifahamu girls'rights. Hata wewe ukitaka kuzifahamu ni rahisi sana zipo kila sehemu hata umu mitandaoni sio elimu ngeni sana.

Kuhusu kukopa sipo tayari kwa sasa maana biashara aianzishwi na mkopo mkopo uja kuistrengthen.
Kwanza kama mwanaume pambana acha umlenda kitabu chako usaidiwe kupublish
Hiyo ni history kubwa unaandika sasa misaada tena wap na wap
MKUU PAMBANA YA HELA YOTE
 
Sasa Kama ziko mtandaoni why would I buy your book if I could easily read them online?
This is a tricky question think before you answer. .
Nimejiuliza hicho kitabu kitakuwa chanin kama kina vitu ambavyo wanajifunza daily hao girls
Kama kina content akakope hela
 
JF umekuwa mtandao wa hovyo wa kuwakatisha watu tamaa na kuharibu mijadala ya kujenga jamii. Hapa umeleta wazo zuri lakini kwa baadhi ya watu hovyo kabisa!
Jf ina watu wakuhoji
 
Mkuu awa wakatishaji tamaa mimi siwazingatii kabisa ndio maana nawajibu wanachostahiki. Watu wenye kukujenga hata wakijitokeza wawili wanatosha sana.
Ukihojiwa jibu hoja kuna muda unahic unakatishwa tamaa kumbe wanakujenga
 
Pole mkuu kwa changamoto za kimahusiano zinazokusumbua. Nashauri tu ukiwa kwenye mahusiano simama kama mwanaume utakuwa kichwa kwenye relationship yako. Pia mimi sijaomba unichangie hela au comprehension ni tatizo?
Tukisimama wanakimbia wanaviburi hawa ndugu acha tu. Yaani wao ni ama umruhusu na kumuachia akupande kichwani au asiishi na wewe akatafute kilaza.

Hawajakuzwa kwa kulelewa kuwa wake za watu hawa wadudu.
 
Kama wewe ni mwandishi mchanga kupata udhamini ni chini ya asilimia 1% pambana uchapishe mwenyewe kwasasa Kuna mitambo midogo inayoweza kutoa Hadi idadi ya copy 100 huwezi shindwa. Ukishinda kabisa fanya self publishing online lulu.com , bluu au amazon
 
Kama wewe ni mwandishi mchanga kupata udhamini ni chini ya asilimia 1% pambana uchapishe mwenyewe kwasasa Kuna mitambo midogo inayoweza kutoa Hadi idadi ya copy 100 huwezi shindwa. Ukishinda kabisa fanya self publishing online lulu.com , bluu au amazon
Asante mkuu. Je unafahamu kampuni na hizo gharama za kuchapa copy 100 unisaidie taarifa?
Hiyo self publishing inakuwaje nna weza design kitabu mwenyewe online? I appreciate your infos.
 
Asante mkuu. Je unafahamu kampuni na hizo gharama za kuchapa copy 100 unisaidie taarifa?
Hiyo self publishing inakuwaje nna weza design kitabu mwenyewe online? I appreciate your infos.
Yes Kuna kampuni wanachapa copy hata chache kuanzia 100 bei zake sio kubwa Sana inaanzia 1700 kupanda juu kulingana na idadi ya copy na sometimes pages kadri unavyoacha copy nyingi Bei inapungua ,, kuhusu sef publishing ya unaweza kufanya kila kitu online mtu akioda anapelekewa hadcopy
 
Yes Kuna kampuni wanachapa copy hata chache kuanzia 100 bei zake sio kubwa Sana inaanzia 1700 kupanda juu kulingana na idadi ya copy na sometimes pages kadri unavyoacha copy nyingi Bei inapungua ,, kuhusu sef publishing ya unaweza kufanya kila kitu online mtu akioda anapelekewa hadcopy
Mkuu naomba nisaidie namna ya kuzifikia hao printers wa hizo bei hata PM kama hapa unashindwa
 
Back
Top Bottom