Wapi naweza kupata kuku wa kienyeji kama wale wa KFC?

Wapi naweza kupata kuku wa kienyeji kama wale wa KFC?

Kwa hapa Dar es Salaam wapi naweza kupata kuku wa kukaanga kienyeji mithili ya wale wanaouzwa KFC? Yani kuku wa kukaanga crispy au crunch lakini ni wa kienyeji.

Na ni kwa nini kuku wa kienyeji wa kuchoma au kukaanga mara nyingi huwa anakuwa mgumu kuliko wale wa kisasa? Mara nyingi watu wanapokula kuku wa kienyeji inabidi watumie nguvu kubwa za ziada kulliko wa kisasa.
Huu ugumu wa kuku wa kienyeji huwa unasabaishwa na nini??
Ufugaji....Kwa kifupi kuku wakienyeji huchukuwa angalau miezi SITA mpaka aliwe...wakati wakisasa huchukuwa wiki tatu Toka aanguliwe mpaka awe tayari kuliwa.....utaona tofauti hapo 🤔
 
Ufugaji....Kwa kifupi kuku wakienyeji huchukuwa angalau miezi SITA mpaka aliwe...wakati wakisasa huchukuwa wiki tatu Toka aanguliwe mpaka awe tayari kuliwa.....utaona tofauti hapo 🤔
Wa kisasa si huwa anahudimiwa vizuri mkuu, mfugaji anahakikisha chakula sahihi, chanjo na joto muafaka muda wote wakati wale wa kienyeji wanakuzwa kama yatima waliotelekezwa, wengi wanawafungulia wajitafutie chakula au wanapewa mabaki ya chakula kama ukoko kila siku. Labda hata hao wa kienyeji wakipata matunzo wanawahi kukua.
 
Kwa hapa Dar es Salaam wapi naweza kupata kuku wa kukaanga kienyeji mithili ya wale wanaouzwa KFC? Yani kuku wa kukaanga crispy au crunch lakini ni wa kienyeji.

Na ni kwa nini kuku wa kienyeji wa kuchoma au kukaanga mara nyingi huwa anakuwa mgumu kuliko wale wa kisasa? Mara nyingi watu wanapokula kuku wa kienyeji inabidi watumie nguvu kubwa za ziada kulliko wa kisasa.
Huu ugumu wa kuku wa kienyeji huwa unasabaishwa na nini??
tengeneza mwenyewe nyumbani

fanya kum marinate usiku kucha au masaa 6 na zaidi, weka viungo vya kutosha funika weka kwenye friji asubuhi mchemshe kidogo alainike zaidi then akipoa ndo ueke viungo kama za KFC kaanga uendelee
 
tengeneza mwenyewe nyumbani

fanya kum marinate usiku kucha au masaa 6 na zaidi, weka viungo vya kutosha funika weka kwenye friji asubuhi mchemshe kidogo alainike zaidi then akipoa ndo ueke viungo kama za KFC kaanga uendelee
Ona sasa maandalizi kama nyama ya nyati! Shida yote ya nini? Halafu sijui ladha naona overated tu bila viungo kuku ni kuku tu jogoo jina.
 
Ona sasa maandalizi kama nyama ya nyati! Shida yote ya nini? Halafu sijui ladha naona overated tu bila viungo kuku ni kuku tu jogoo jina.
maandalizi ndo utamu wenyewe sasa bila maandalizi inakuaje 😀 😀

kwene maandalizi ndo utamu unakopatikana so ukikosea maandalizi huwezi pata utamu wa ladha
 
maandalizi ndo utamu wenyewe sasa bila maandalizi inakuaje 😀 😀

kwene maandalizi ndo utamu unakopatikana so ukikosea maandalizi huwezi pata utamu wa ladha
Ndugu msomaji ELEWA NENO UTAMU.
 
Wale kuku ni imported ndugu, wanakuja washachinjwa.ushasikia KFC wanauza filigisi?kingine ni utaalamu wa mapishi.
Hapo kuna ngano zimewekwa huko sijui viungo gani pia.
Kuki wa KFC Wana kuwa imported Toka South Africa na Kenya

Kulikuwa na Kampuni Tanzania ya waitaliano I aotwa Amadoli sijui kama Bado wapo walikuwa supplier wakubwa wa KFC
 
Back
Top Bottom