Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 14,938
- 25,405
Mkuu pole sana aseeh. Mnawezaje kula kuku unatafuna kila kitu hadi mfupa? Yan huyo kuku hana tofauti na biskuti. Hao kuku hawashuki kabisaNdio maana huwa sipendi kuku wa kienyeji. Kuku mgumu utafikiri nini, siwezi kuumiza taya zangu kisa kuku wakati kuna option ya kuku laini.