Ufugaji....Kwa kifupi kuku wakienyeji huchukuwa angalau miezi SITA mpaka aliwe...wakati wakisasa huchukuwa wiki tatu Toka aanguliwe mpaka awe tayari kuliwa.....utaona tofauti hapo π€Kwa hapa Dar es Salaam wapi naweza kupata kuku wa kukaanga kienyeji mithili ya wale wanaouzwa KFC? Yani kuku wa kukaanga crispy au crunch lakini ni wa kienyeji.
Na ni kwa nini kuku wa kienyeji wa kuchoma au kukaanga mara nyingi huwa anakuwa mgumu kuliko wale wa kisasa? Mara nyingi watu wanapokula kuku wa kienyeji inabidi watumie nguvu kubwa za ziada kulliko wa kisasa.
Huu ugumu wa kuku wa kienyeji huwa unasabaishwa na nini??
Inaelekea umzr sanaπKwanini
Kweli kila mtu na mtu wake, angekua ameambiwa yule mtu wako usingecomment hivyoπ€ΈChupa mpya mvinyo ule ule.
JichanganyeInaelekea umzr sana
Kama hadi wewe hujui, sisi sidhani kama tutajua kiukweli, hahaMleta Mada kasema anataka kuku wa kienyeji walionona kama wale wa KFC....
Ndiyo nikauliza hapo..
Inaelekea umzr sana
Usiseme mzuri sema mtamuu.Inaelekea umzr sana
Wa kisasa si huwa anahudimiwa vizuri mkuu, mfugaji anahakikisha chakula sahihi, chanjo na joto muafaka muda wote wakati wale wa kienyeji wanakuzwa kama yatima waliotelekezwa, wengi wanawafungulia wajitafutie chakula au wanapewa mabaki ya chakula kama ukoko kila siku. Labda hata hao wa kienyeji wakipata matunzo wanawahi kukua.Ufugaji....Kwa kifupi kuku wakienyeji huchukuwa angalau miezi SITA mpaka aliwe...wakati wakisasa huchukuwa wiki tatu Toka aanguliwe mpaka awe tayari kuliwa.....utaona tofauti hapo π€
Pika siku moja mamaNi vile tu umaskini ila kuku wa kienyeji ndio kuku
tengeneza mwenyewe nyumbaniKwa hapa Dar es Salaam wapi naweza kupata kuku wa kukaanga kienyeji mithili ya wale wanaouzwa KFC? Yani kuku wa kukaanga crispy au crunch lakini ni wa kienyeji.
Na ni kwa nini kuku wa kienyeji wa kuchoma au kukaanga mara nyingi huwa anakuwa mgumu kuliko wale wa kisasa? Mara nyingi watu wanapokula kuku wa kienyeji inabidi watumie nguvu kubwa za ziada kulliko wa kisasa.
Huu ugumu wa kuku wa kienyeji huwa unasabaishwa na nini??
Mpaka sikukuuPika siku moja mama
Ona sasa maandalizi kama nyama ya nyati! Shida yote ya nini? Halafu sijui ladha naona overated tu bila viungo kuku ni kuku tu jogoo jina.tengeneza mwenyewe nyumbani
fanya kum marinate usiku kucha au masaa 6 na zaidi, weka viungo vya kutosha funika weka kwenye friji asubuhi mchemshe kidogo alainike zaidi then akipoa ndo ueke viungo kama za KFC kaanga uendelee
Imani tu, mpishi akijua afnyacho ladha utaipata tu....Kuku wa kisasa kwa supu, mchemsho au makange sio mtamu.
maandalizi ndo utamu wenyewe sasa bila maandalizi inakuaje π πOna sasa maandalizi kama nyama ya nyati! Shida yote ya nini? Halafu sijui ladha naona overated tu bila viungo kuku ni kuku tu jogoo jina.
Ndugu msomaji ELEWA NENO UTAMU.maandalizi ndo utamu wenyewe sasa bila maandalizi inakuaje π π
kwene maandalizi ndo utamu unakopatikana so ukikosea maandalizi huwezi pata utamu wa ladha
Kuki wa KFC Wana kuwa imported Toka South Africa na KenyaWale kuku ni imported ndugu, wanakuja washachinjwa.ushasikia KFC wanauza filigisi?kingine ni utaalamu wa mapishi.
Hapo kuna ngano zimewekwa huko sijui viungo gani pia.