Chemsha kidogo kuku huyo wa kienyeji... Mfanyie marinating.. Weka tangawizi.. Kitunguu saumu na limao, vinegar na majinamoto... Baada ya ku fanya hivyo... Weka nyama hiyo kwenye bakuli kubwa... Mimina soda ya coke then funika kwa foil paper au kama bakuli iko na mfuniko unafunika like 10min.
Pasua mayai kadhaa... Changanya na viungo kama chicken masala na pili pili manga... Kitunguu saumu cha unga.. Then weka na unga laini wa ngano... Tumbukiza vipande vya nyama kwenye mchanganyiko huo... Then Tumbukiza kwenye mafuta yaliyochemka vizuri... Wache iive vizuri ndani ya mafuta..
Hapo utapata crunch chicken mwenye ladha safi na mtam kabisa kuliko KFC.