t blj
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 7,035
- 16,705
Atakumbana na kodi pale namangaTafuta Connection Nairobi
Chupa nyingi zinatokea kule
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atakumbana na kodi pale namangaTafuta Connection Nairobi
Chupa nyingi zinatokea kule
Hakuna mtihani mkuu Kama unao mtaji mbona wiki mbili tu package zimetua bongoHuo mtihani. Itabidi nitumie plastic tu
Material Ile hakuna tz jaribu South Africa".. ndio sector yangu."
Naomba kuuliza [emoji116]
Nahitaji kutengeneza plastic kavu yenye uangavu(kupitisha mwanga).. mfano:- Kama vile vifuniko vya juu vya hizi bulb za Kisasa (( LED lights Bulb.. mfano AILYONS, UBER, TRONIC nk ))
Je naweza anzia wapi ? [emoji120]
Nipo South Africa nipe hiyo connectionHapo mkuu nenda china au Nairobi au south Africa
Kwa Tz hakuna materials za kutengeneza hizo kopo nadhan hawajaleta kwakuwa demand ya kopo hizo ni Chache na kwakuwa unataka kuanza biashara nashauri tafuta supplier china
Nairobi pia niko na connection huko pia kama mtu yupo serious. Huhitaji kwenda popote,Hapo mkuu nenda china au Nairobi au south Africa
Kwa Tz hakuna materials za kutengeneza hizo kopo nadhan hawajaleta kwakuwa demand ya kopo hizo ni Chache na kwakuwa unataka kuanza biashara nashauri tafuta supplier china
Safi sana mkuu ni pm namba yako nahitaji vifungashio na siku zote connection hazitoshagiNairobi pia niko na connection huko pia kama mtu yupo serious. Huhitaji kwenda popote,
Njoo MP nikupatie namba ya kiwanda SANipo South Africa nipe hiyo connection